• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

KAMPENI YA VIJANA NI WAKATI WETU YAZINDULIWA RAMSI PANGANI

siku ya kuwekwa : September 3rd, 2018

Kampeni ya "VIJANA NI WAKATI WETU” Pangani kupitia Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Pangani akishirikiana na Ofisi ya Mbunge na Halmashauri imeanza rasmi kwa mwitikio na hamasa kubwa leo uwanja wa Bomani Tarafa ya Pangani mjini kama ambavyo DC Zainab Abdallah alidhamiria kukutana, kuhamasisha, kuzungumza, kutambuana na kusemezana na vijana wote wa Pangani kuwahamasisha, kuwasapoti, kuwaleta pamoja na hili likifanikiwa kwa kua na idadi yao wasio na kazi, kujua wana vipawa gani, wana malengo yapi na wanaweza kufanya nini!! (Database), kuwajua wenye elimu na wasio na elimu na ujuzi mbalimbali.


Hii imeambatana na kuwasajili, kuwagawa katika makundi kutokana na uwezo wao na malengo yao, na hatua zao; mfano mafundi ujenzi, kilimo, uvuvi, ufundi, bodaboda, washonaji, wasanii n.k.


Tumeamua kuwasapoti kuandaa mipango ya miradi, kuwapa uwezeshi wa  miundombinu ikiwemo kutumia asilimia za vijana ambayo ni haki yao, kurudisha karakana zilizokufa, kuwapa sapoti kuwaunganisha na miradi ya halmashauri, ufuatialiaji na usimamizi chini ya Idara ya Vijana.


Vijana ambao wameshapiga hatua wametambuliwa na kua mfano kwa wengine ambao hawajaanza kabisa. Tukiwa viongozi vijana hatutokuwa na amani kamwe kama hatutakuwa sehemu ya kutengeneza hatma ya vijana wenzetu.


Hii ni Phase 1 ya program hii, Phase 2 itaambatana na kuwatengenezea mazingira wezeshi na mafunzo rasmi kulingana na malengo yao. Na kisha Phase 3 tutakamilisha kwa kuhakikisha hakuna kijana ambae atakaa mitaani hana shughuli maalum ya kufanya. Kampeni hii imezinduliwa na Mkuu wa Wilaya leo Tarehe  03 Sept.2018 na itahitimishwa Tarehe  06 September 2018 na itapita Tarafa zote 4 za Pangani kuanzia Pangani Mjini tarehe kuelekea Mwera Tarehe 4 septemba , Madanga tarehe 5 septemba itamalizia Mkwaja Tarehe Septemba 2018.


Uzinduzi umekua na wito kwa vijana wa Pangani kujitokeza na wamehamasika ikiwemo kujisajili rasmi. Tukutane kesho Tarafa ya Mwera - Kipumbwi.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • DAS PANGANI ATEMBELEA KUJIONEA MAENDELEO YA MAANDALIZI YA NANE NANE

    July 03, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA ATEMBELEA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANE NANE

    July 02, 2025
  • TANZIA

    July 01, 2025
  • DC PANGANI AKETI NA WAFUGAJI KUJADILI NA KUTATUA MIGOGORO YAO

    June 30, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa