• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA BIASHARA LA WILAYA YA PANGANI LAFANYA MKUTANO.

siku ya kuwekwa : April 30th, 2024


Baraza la Biashara la Wilaya ya Pangani limefanya Mkutano wake wa kikatiba leo Aprili 30, 2024. 


Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa zamani wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani.


Aidha Mkutano huo umewakutanisha wadau mbalimbali wa biashara kutoka Sekta binafsi na sekta za umma ili kujadili, kupendekeza na kutatua changamoto za wafanyabiashara pamoja na mazingira ya biashara zao.


Akiongea mala baada ya ufunguzi wa mkutano huo Afisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Bi Jenipha Nyahongo amebainisha kuwa

" Baraza la biashara ni jukwaa rasmi la majadiliano kati ya sekta ya umma na sekta binafsi katika ngazi ya Taifa,Mkoa na Wilaya". Alisema.

Ikumbukwe kuwa, Mwenyekiti wa Baraza hilo ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Pangani mhe Mussa Kilakala, aliyewakilishwa na Afisa Tarafa wa Pangani mjini bi Helswida Majula amesisitiza kuwa "-

" Changamoto mbalimbali za biashara ziangaliwe na zitatuliwe ili kuruhusu mazingira bora ya biashara".


Hata hivyo Wajumbe mbalimbali ambao ni wafanyabiashara wametoa hoja zao na lengo ni kuendelea kuboresha mazingira mazuri ya biashara katika Wilaya ya Pangani.

BARAZA LA BIASHARA LA WILAYA YA PANGANI LAFANYA MKUTANO.

Baraza la Biashara la Wilaya ya Pangani  limefanya Mkutano wake wa kikatiba leo  Aprili 30, 2024.

Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa zamani wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani.

Aidha Mkutano huo umewakutanisha wadau mbalimbali wa biashara kutoka Sekta binafsi na sekta za umma ili kujadili, kupendekeza na kutatua changamoto za wafanyabiashara pamoja na mazingira ya biashara zao.

Akiongea mala baada ya ufunguzi wa mkutano huo Afisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Bi Jenipha Nyahongo amebainisha kuwa

" Baraza la biashara ni jukwaa rasmi la majadiliano kati ya sekta ya umma na sekta binafsi katika ngazi ya Taifa,Mkoa na Wilaya". Alisema.

Ikumbukwe kuwa, Mwenyekiti wa Baraza hilo ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Pangani mhe Mussa Kilakala, aliyewakilishwa na Afisa Tarafa  wa Pangani mjini bi Helswida Majula amesisitiza kuwa "-

" Changamoto mbalimbali za biashara ziangaliwe na zitatuliwe ili kuruhusu mazingira bora ya biashara".

Hata hivyo Wajumbe mbalimbali ambao ni wafanyabiashara wametoa hoja zao na lengo ni kuendelea kuboresha mazingira mazuri ya biashara katika Wilaya ya Pangani.












Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MIKUTANO WA MWAKA WA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA HALMASHAURI

    July 06, 2025
  • DAS PANGANI ATEMBELEA KUJIONEA MAENDELEO YA MAANDALIZI YA NANE NANE

    July 03, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA ATEMBELEA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANE NANE

    July 02, 2025
  • TANZIA

    July 01, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa