• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

siku ya kuwekwa : December 6th, 2024


Pangani -Tanga


Mkurugenzi msaidizi Idara ya jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, jinsia, wanawake  na makundi maalum  bi Juliana Kibonde, ameshiki Maadhimisho ya Siku 16 za kupinga ukatili kupitia kampeni ya kuelekea miaka 30 ya Beijing, yenye kauli mbiu ya " Chagua kutokomeza ukatili wa kijinsia, ambapo amesema ni jukumu la Jamii nzima kutoa taarifa za kupinga ukatili wa kijinsia.

Ameyasema hayo  leo tarehe 6 Desemba, 2024, alipokua katika mwendelezo wa Maadhimisho ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia,  Wilayani Pangani.


Nae Mhe,Heliswida Simon Majula mwakilishi kutoka Ofisi ya mkuu wa wilaya ya pangani amesema kuwa

" kila mmoja katika Jamii yetu ana haki ya kukataza vitendo viovu vya ukatili ili kuweza kutokomeza vitendo hivyo vya ukatili wa kijinsia". Alisema.

Sambamba na hayo Balozi wa Ireland bi,Hellen amesema anaishukuru Serikali pamoja na wadau mbalimbali wanao pinga ukatili wa kijinsia kwa kuweka mazingira sawa katika kutokomeza ukatili wa kijinsia.


Kwa upande mwingine viongozi wa dini zote  wamekemea vikali vitendo hivyo vya ukatili wa kijinsia Kwa wanawake na kuwataka wazazi kuwaangalia vyema watoto wao.


Maadhimisho hayo ya Sikua 16 za Kupinga Ukatili, yamehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, pamoja na Taasisi mbalimbali zikiwemo UZIKWASA, Easun, Femina hip, ESTL,WOLEA, TARIRI, AMREF, CAN Tanzania, ambazo kwa pamoja zinapinga maswala haya ya ukatili wa kijinsia kwa ujumla.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • Tangazo la nafasi za kazi

    September 02, 2025
  • DC GIFT AZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA MIFUGO

    September 01, 2025
  • RASMI BARABARA ZA MITAA PANGANI ZABORESHWA

    September 01, 2025
  • PANGANI DC YAENDELEA KUNG’ARA SHIMISEMITA 2025.

    August 23, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Pangani Dc
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa