• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

UZIKWASA YATOA MAFUNZO YA MGUSO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI

siku ya kuwekwa : November 23rd, 2022

Watumishi wa kada mbalimbali za Halmashauri ya wilaya ya Pangani waloshiriki kwenye mafunzo ya Siku tatu ya uongozi wa mguso yanayotolewa na Shirika la UZIKWASA wamelishukuru shirika hilo na kuahidi kuyafanyia kazi ili kuongeza ufanisi katika utoaji huduma pamoja na uongozi wao.
–
Mafunzo hayo yamefanyika katika Ofisi mpya za Shirika la UZIKWASA zilizopo katika kijiji cha Boza wilayani Pangani Mkoani Tanga.

Sehemu kubwa ya watumishi hao ni wapya katika idara za Halmashauri hiyo ambao walikuwa bado hawajapatiwa mafunzo ya mguso.
Kupitia afua mbalimbali za Shirika la UZIKWASA watumishi, viongozi na wadau mbalimbali wa maendeleo ya jamii wamepatiwa mafunzo ya mguso kuanzia ngazi ya kjiji mpaka wilaya.

Bi Afisa Maendeleo wa Halmashauri ya wilaya Pangani Bi. Sekela Mwalukasa ameeleza kuwa mafunzo ya mguso yanatumia mbinu mbalimbali ambazo anaamini zitamsaidia kiongozi katika majukumu yake.
“UZIKWASA wana mbinu mbalimbali kwenye mafunzo haya ya mguso na kama kiongozi lazima uwe mfano wa kuigwa hivyo kupitia mbinu hizi za kiuwezeshaji jamii ya pangani itakuwa na mabadiliko mazuri na pangani itapata maendeleo” – Amesema Bi. Sekela

Mwezeshaji kutoka Shrika la UZIKWASA Bi. Salvata Kalanga ameeleza akielezea umuhimu wa mafunzo hayo ametoa wito kwa watumishi hao kuendelea kutathmini nafasi zao katika kuleta maendeleo endelevu Pangani baada ya kupatiwa mafunzo hayo.

“mafunzo ya uongozi wa mguso yanamsaidia kiongozi kujua wajibu wake kwa anaowaongoza na yanamjenga kiongozi kujitafakari na kujitathmini ili kujua ni mambo gani anapaswa kufanya na kuleta mabadiliko kwake na kwa wale anaowaongoza,tayari mafunzo haya yameshawafikia viongozi mbalimbali hapa wilayani pangani kuanzia ngazi ya kijiji,kata,wilaya mpaka mkoa, na mafunzo haya ukiyafuatilia kama kiongozi utaona mabadiliko tu kwa jamii.”- Amesema Bi. Salvata.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MIKUTANO WA MWAKA WA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA HALMASHAURI

    July 06, 2025
  • DAS PANGANI ATEMBELEA KUJIONEA MAENDELEO YA MAANDALIZI YA NANE NANE

    July 03, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA ATEMBELEA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANE NANE

    July 02, 2025
  • TANZIA

    July 01, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa