• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

UZINDUZI KAMPENI YA KUDHIBITI MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE

siku ya kuwekwa : February 7th, 2025

UZINDUZI WA KAMPENI YA   KUDHIBITI MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE


Halmashauri ya Wilaya ya Pangani imedhamiria kuendeleza mikakati dhabiti ya kuwakinga wananchi na magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele.


Hayo yamesemwa leo tarehe 07/02/2025 katika kikao cha kimkakati cha umezeshaji dawa kinga za Minyoo Tumbo,Kichocho na Matende na Mabusha[Ngirimaji] kilichoongozwa na  Mkuu wa Wilaya Mhe Gift Msuya kwenye ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

Mratibu wa Magonjwa yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele (NTD) Wilaya ya Pangani, Dkt. Jumanne Akilimali, alianza kwa kubainisha  magonjwa hayo ambayo yalikuwa hayapewi kipaumbele wilaya ya Pangani ambayo ni pamoja na Kichocho,Minyoo Tumbo na Matende na Mabusha [Ngirimaji].


Pia,Dkt.Akilimali  ameongeza kuwa,  ili kukabiliana na tatizo hilo Idara ya Afya  Pangani kwa kushirikiana na wizara ya Afya itaendesha zoezi la utoaji wa Dawa   kingatiba kwa watoto wa umri  kuanzia miaka 5 hadi miaka 14 wa shule  zote ambapo zoezi hilo litaanza siku ya  tarehe 17-18/02/2025 na kingatiba ya Matende na Mabusha [Ngirimaji] kuanzia Tarehe 21-28/02/2025 kwa wanachi wote wenye miaka 5 na kuendelea.

Aidha,aliongeza kuwa zoezi hilo litasimamiwa na walimu wakishirikiana na watumishi wa Afya  na lengo ni kuwafikia wanafunzi pamoja na wananchi wote kiujumla.Hii itasaidia kuondokana na changamoto za zilizokithiri za udumavu, utapiamlo  na upungufu wa damu kwa watoto na uwepo wa matende na Mabusha [Ngirimaji] kwa watu wazima.


Wizara ya Afya kupitia mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele  imekua ikiiendesha mazoezi haya kwa miaka sasa ili kutokomeza matatizo haya sugu katika jamii ya Pangani hivyo kila mwananchi anaaswa kushiriki kumeza dawa kinga  ili kutokomeza Kichocho,Matende na Mabusha[Ngirimaji]

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI.

    May 23, 2025
  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa