• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

VIKUNDI VYA WAVUVI NA WACHAKATAJI DAGAA WILAYANI PANGANI WAHIMIZWA KUDUMISHA UMOJA

siku ya kuwekwa : September 20th, 2023



Mkurugenzi wa Kituo cha Mafunzo cha Kanda ya Ziwa - Mwanza, Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Juvenal Nkonoki amevihimiza vikundi vya Wavuvi na Wachakataji Dagaa vya Wilayani Pangani Mkoani Tanga kudumisha umoja na ushirikiano kwani huo ndiyo mtaji wa maendeleo. 


Prof. Nkonoki ameyasema hayo Jumatatu September 18, 2023 katika hafla ya ufunguzi wa Mafunzo ya siku mbili ya kuvijengea uwezo vyama vya ushirika kwa vikundi 11 vya Wavuvi na Wachakata Dagaa vyenye jumla ya wanachama 218 ambapo kati yao Wanawake 118 na Wanaume 100. Mafunzo hayo yamefanyika katika Kijiji cha Sakura Kata ya Kipumbwi Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga.


“Mkiwa katika umoja tunaimani hata tukiwajengea uwezo mtakuwa na nguvu ya kutoka pale mlipo na kwenda sehemu nyingine kwa vile mtakuwa na uwezo wa kutatua changamoto zinazoikabili sekta ya uvuvi. Tunaamini kwa umoja wenu mafunzo haya yanakwenda kuwa chachu ya mabadiliko kwenu na mnao wawakilisha” Alisema Prof. Nkonoki.


Aidha Profesa Nkonoki ameishukuru Serikali ya Japan pamoja na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) kwa kufadhili mafunzo hayo pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu kwa uratibu wa Mafunzo hayo.


Kwa upande wake Mratibu wa Mafunzo hayo, Dkt. Bonamax Mbasa ambae ni Mhadhiri Mwandamizi kutoka Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini amesema mafunzo hayo ya kuwajengea uwezo yanafanyika katika Wilaya tatu ambazo shughuli zake za kiuchumi zinategemea uvuvi baharini ambazo ni Mafia, Pangani na Bagamoyo.



Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI.

    May 23, 2025
  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa