• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

WATUMISHI PANGANI WAPEWA MAFUNZO YA UPIMAJI UTENDAJI KAZI KWA WATUMISHI(PEPMIS?

siku ya kuwekwa : December 6th, 2023

Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani wameanza kupatiwa Mafunzo ya Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi kwa watumishi wa Umma (PEPMIS).

Mafunzo hayo yameanza leo  tarehe 6,Disemba 2023 hadi 7, Disemba 2023 katika ukumbi wa Halmashauri ya Pangani, yaliyoandaliwa na Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora, yakiwahusisha Wakuu wa Divisheni na Vitengo wa Halmashauri na wasaidizi wao.

Akifungua mafunzo hayo Mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu ndg Veronica Marwa.


Amesema kuwa mfumo huo, utawezesha upimaji wa kazi alizopangiwa mtumishi kwa siku, kulingana na majukumu aliyopangiwa na muda wa kufikia malengo pamoja na tathmini na upimaji.


Naye mtoa mada kutoka Ofisi ya  Rais Utumishi na Utawala Bora, ndg Kamugisha Sabas amesema, mafunzo hayo ni muhimu kwa watumishi, yenye lengo la kumuwezesha mtumishi wa Umma, kujifanyia upimaji wa kazi anazozitekeleza kila siku kupitia mfumo wa PEPIMS.


"Kila mtumishi anapaswa kuuelewa vizuri mfumo huu, kwa kuwa unamgusa moja kwa moja utendaji wake wa kazi, kwa kuzingatia malengo binafsi na kufikia malengo ya jumla ya Mwajiri ambaye ni Serikali, niwasisitize nafasi hii ni muhimu kwa kila mtumishi, kuhakikisha unauelewa vizuri mfumo huu mpya wa PEPMIS" .


Amebainisha kuwa, lengo la mafunzo hayo, ni kuwajengea uwezo watumishi na kuwa na uelewa wa pamoja wa namna ya kutumia mfumo wa PEPIMS, ambao ni mfumo mpya uliotolewa na serikali kwa ajili ya kupima utendaji kazi kwa watumishi wote wa Umma.


#panganimpya

#kaziiendelee.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MIKUTANO WA MWAKA WA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA HALMASHAURI

    July 06, 2025
  • DAS PANGANI ATEMBELEA KUJIONEA MAENDELEO YA MAANDALIZI YA NANE NANE

    July 03, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA ATEMBELEA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANE NANE

    July 02, 2025
  • TANZIA

    July 01, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa