siku ya kuwekwa : July 4th, 2024
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tanga na Mjumbe wa Kamati Kuu CCM cde Rajabu Abdurrahman Abdallah amewasili leo Julai 4,2024 na kusalimiana na viongozi pamoja na wananchi wa Wilaya ya Pangani baada ya...
siku ya kuwekwa : July 3rd, 2024
Halmashauri ya Wilaya ya Pangani kupitia idara ya kilimo mifugo na uvuvi inaendelea na jitihada za kuingiza zao la alizeti kama zao la biashara katika Wilaya hiyo.
Katika kutekeleza juhudi hizo...
siku ya kuwekwa : July 2nd, 2024
Serikali ya awamu ya Sita chini ya Dkt Samia Suluhu Hassan, imeendelea kuboresha mazingira bora ya huduma za afya ikiwa ni pamoja na kuboresha na kukamilisha ujenzi na ukarabati wa Miundombinu y...