siku ya kuwekwa : January 1st, 2021
Halmshauri ya wilaya ya Pangani imesema inafanya tathimini ili kuona kama kuna uwezekano wa kuendelea kutumia B M U katika ukusanyaji wa mapato kama hapo awali au kutumia watumishi wa Halmashauri hiyo...
siku ya kuwekwa : February 1st, 2019
Halmashauri ya wilaya ya Pangani yashika nafasi ya kwanza kimkoa (TANGA)Matokea ya kidato cha nne yaliyotangazwa mnamo tarehe 24/01/2019
Kwa mwaka wa fedha 2017/2018 Tumetoka kuwa Wilay...
siku ya kuwekwa : October 12th, 2021
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof.Makame Mbarawa kushoto akila dafu alilopewa na wakazi wa Pangani alipokagua barabara ya Tanga-Pangani KM 50 inayojengwa kwa kiwango cha lami, Kulia ni mkuu wa Mkoa wa...