siku ya kuwekwa : February 13th, 2024
Afisa Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani ndg Daudi Mwakabanje akiambatana na Afisa Ustawi wa Jamii ndg Kirigiti wameungana kutoa Elimu siku ya Maadhimisho ya Afya na Lishe.
...
siku ya kuwekwa : February 2nd, 2024
Afisa Lishe kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Pangani ndg Daud Mwakabanje ameendelea kutoa elimu na kuhamasisha wanafunzi juu ya matumizi sahihi na mpangilio bora wa vyakula ili kuimarish...