siku ya kuwekwa : May 7th, 2025
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani anapenda kuwatangazia wanachi wote kuwa kutakuwa na madaktari bingwa wa dkt Samia hospitali ya Wilaya...
siku ya kuwekwa : April 30th, 2025
Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Pangani yaiomba Serikali kutafuta ufumbuzi wa kudumu tatizo la kukatika kwa Umeme mara kwa mara Wilayani Pangani.
Yamesemwa hayo leo...
siku ya kuwekwa : April 30th, 2025
Mkutano wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, umeketi leo Aprili 30,2025, katika ukumbi wa Halmashauri ya zamani ikiwa ni hitimisho la Robo ya Tatu kwa mwaka wa fedha 2024/2025.
...