siku ya kuwekwa : July 28th, 2023
Mkutano wa Baraza la Madiwani umefanyika leo Julai 28,2023 katika Ukumbi wa zamani wa Halmashauri ya Wilaya.
Mkutano umeongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Ndg, A...
siku ya kuwekwa : July 25th, 2023
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Tanga, (UWASA) wamekabidhi mradi wa ujenzi wa Vyoo vya kisasa Matundu 8 katika Shule ya Msingi Funguni.
UWASA wamekabidhi mradi huo 21 julai 2023, mbele y...
siku ya kuwekwa : July 25th, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Pangani mhe Zainab Abdallah amefanya Ziara na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU).
Ziara hio imefanyika 22 Julai 2023 katika hospitali kongwe ya wila...