• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA KWA KISHINDO PANGANI.

siku ya kuwekwa : April 16th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Pangani mhe Mussa Kilakala ameongoza  Mapokezi ya  Mwenge wa Uhuru leo Aprili 16,2024 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Muheza.

Mwenge wa Uhuru umepokelewa kwa kishindo na wananchi mbalimbali ambao wamejitokeza huku wakiimba nyimbo mbalimbali.

Mwenge wa uhuru ukiwa Pangani utakagua, utaweka mawe ya Msingi pamoja na kuzindua  miradi mbalimbali ya maendeleo.


Miongoni mwa miradi itakayokaguliwa na kutembelewa na Mwenge wa Uhuru kwa Mwaka 2024 ni pamoja na-"


Kikundi cha Kazi Mkazo, Ujenzi wa jengo la Pangani Fm Radio (UZIKWASA) wenye gharama ya Shilingi milioni 777, mradi wa ujenzi wa Madarasa 4 na Matundu 7 ya Vyoo  ya Kidato cha 5 & 6 Shule ya Sekondari Funguni ambapo jumla ya  Shilingi milioni 119 zimetumika.

Aidha Mwenge wa Uhuru pia utatembelea mradi wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami mita 480, PANGADECO 11, pamoja na  Ukarabati wa Hospitali ya Wilaya ya Pangani ambapo jumla ya Shilingi Milioni 900 zimetolewa na Serikali.


#Tunza Mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu".#


#karibuMwengewaUhuru

#karibuPangani.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • SEA SENSE YAWAJENGEA UWEZO NA KUWEZESHA VIFAA VYA DORIA KWA BMU, WA BWENI WILAYANI PANGANI.

    June 18, 2025
  • PANGANI YAFANYA MAADHIMISHO YA SIKU YA KASA DUNIANI

    June 17, 2025
  • HALMASHAURI ZA MKOA WA TANGA ZAPONGEZWA, NA RC BATILDA KWA KUPATA HATI SAFI 2023/2024

    June 16, 2025
  • PANGANI YAFANYA KIKAO KUPOKEA NA KUJADILI TAARIFA ZA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

    June 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa