• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

Elimu

ELIMU

IDARA YA ELIMU MSINGI

Halmashauri ya Wilaya ya Pangani ina jumla  ya shule za msingi 35. Shule za Serikali ni 32 na 3 za binafsi. Shule za Serikali zina jumla ya wanafunzi 10,105 wakiwemo wavulana 5,157 na wasichana 4,948 na Walimu 229.(me- 112na ke- 117).

Aidha zipo shule 34 za elimu ya awali, zikiwemo za serikali 31 na 3 ya binafsi. Shule za serikali  za Elimu za Awali zina jumla ya wanafunzi 1613 wakiwemo wavulana 818 na wasichana 795 Shule binafsi ina jumla ya wanafunzi 330 wakiwemo wavulana na 151 na wasichana 179.

ELIMU YA SEKONDARI

Wilaya ya Pangani ina shule za sekondari 10, kati ya hizo 7 ni za serikali na 3 zisizo za serikali (Non Government Schools) zenye jumla ya wanafunzi 2461 (Wav. 1178 na 1283).

 MAFANIKIO YA SEKTA YA ELIMU

  1. Idadi ya wanafunzi walioandikishwa Sekondari imeongezeka kutoka wanafunzi 1492 Mwaka 2008 hadi kufikia 2461 mwaka 2016.
  2. Shule za sekondari zimeongezeka kutoka shule 6 mwaka 2009 hadi shule 10 mwaka 2016.
  3. Idadi ya walimu imeongezeka kutoka 52 mwaka 2010 hadi kufikia walimu 166 (Me 117, Ke 49) kufikia juni 2016 kuna ongezeko la walimu 114. Aidha idadi ya walimu wa sayansi pia imeongezeka kutoka walimu 3 hadi kufikia walimu 30 mwaka 2016. Tunaishukuru serikali kwa kupunguza tatizo la walimu wilayani kwetu kwa kiasi kikubwa na tunaahidi tutawatumia kikamilifu katika kuboresha utoaji wa elimu ya sekondari.
  4. Ujenzi wa daharia ya wasichana katika sekondari ya Bushiri kwa msaada wa Ubalozi wa Japan wenye thamani ya Dola za Kimarekani 89.263 (Tshs. 143,177,852.00) umekamilika
  5. Ujenzi wa daharia ya wavulana katika Sekondari ya Bushiri kwa nguvu za wananchi, mchango wa serikali kuu na mchango wa Mheshimiwa rais mstaafu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete umekamilika kwa thamani ya Tsh. 58,000,000.
  6. Kufungua shule ya kwanza ya kidato cha tano katika tahasusi za PCB & CBG na mpaka sasa wanafunzi 72 wa kidato cha tano katika shule ya Sekondari Tongani wameripoti.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • SEA SENSE YAWAJENGEA UWEZO NA KUWEZESHA VIFAA VYA DORIA KWA BMU, WA BWENI WILAYANI PANGANI.

    June 18, 2025
  • PANGANI YAFANYA MAADHIMISHO YA SIKU YA KASA DUNIANI

    June 17, 2025
  • HALMASHAURI ZA MKOA WA TANGA ZAPONGEZWA, NA RC BATILDA KWA KUPATA HATI SAFI 2023/2024

    June 16, 2025
  • PANGANI YAFANYA KIKAO KUPOKEA NA KUJADILI TAARIFA ZA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

    June 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa