• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

Ufugaji na uvuvi

SEKTA YA MIFUGO

Wilaya ina mifumo mikubwa miwili ya ufugaji wa ng’ombe ikiwemo ufugaji wa kienyeji wa kuchunga na ufugaji wa ndani. Kumekuwepo na ongezeko kubwa la mifugo ya wafugaji wahamaji ambapo kwa sasa kuna jumla yang’ombe 51,303 (46,229 wa asili na 5074 wa kisasa); mbuzi 26,102; kondoo 11947, punda 446 na kuku 110,329. Hali hii ya kuongezeka kwa idadi kubwa ya mifugo imepelekea kuongezeka kwa uharibifu wa mazingira na kuongezeka kwa migogoro ya wakulima na wafugaji.

Uzalishaji wa Maziwa:

Wastani wa jumla ya lita 8,743 hukusanywa kwa siku kwenye vituo vya kukusanyia maziwa vilivyopo chini ya Ushirika wa wafugaji (WAWAPA) na kusafirishwa kwenda Tanga Fresh. Kuna jumla ya vituo 4 vya kukusanyia maziwa katika Wilaya. Jumla ya lita 2,227,035 za maziwa zilikusanywa katika kipindi cha 2015/16.Aidha bei anayopata mfugaji ni TShs. 680/= kwa lita katika vituo.

SEKTA YA UVUVI

UTANGULIZI

 Wilaya iinatekeleza shughuli zote za Uvuvi kama ilivyo ada, shughuli hizo ni pamoja na kusimsmia sheria, kanuni na sera za uvuvi ili kuhakikisha kunakuwepo na ulinzi,uhifadhi,utunzaji na uvunaji endelevuwa rasilimali za uvuvi pamoja na utunzaji wa mazingira yake,lengo kuu ni kuhakikisha rasilimali ya uvuvi inatumiwa na kizazi cha sasa na cha baadae kwa maendeleo ya jamii na wilaya kwa ujumla.

HALI YA UVUVI

Hali ya uvuvi katika wilaya yetu ya pangani ni ya wastani pamoja na changamoto mbalimbali zilizopo za uvuvi haramu zana duni na vyombo duni kwa wavuvi wengi wa pangani lakini shughuli za uvuvi zimeendelea kufanyika hadi kufikia robo ya pili ya mwaka2016/2017 jumla ya kilo 38,525 zenye thamani ya tshs 154,100,000/= zilivunwa.

IDADI YA WAVUVI NA VYOMBO

Kwa mujibu wa sense ya uvuvi iliyofanyika mwezi wa pili mwaka 2016 Wilaya ya Pangani ina jumla ya wavuvi1540 wanaojishughulisha na uvuvi wa samaki, pweza kamba na kaa na wavuvi 62 wanaojighulisha na utandaji wa uduvi ambao kwa mujibu wa sheria ya uvuvi no.22 ya mwaka 2003.

MAFANIKIO

Kitengo cha uvuvi kwa  kushirikiana na mamlaka ya chuo cha ufundi stadi VETA kwa awamu tofauti tulifanikiwa kutoa elimu kwa wavuvi sitini (60) juu ya ujasiriamali, uchakataji na usindikaji wa samaki, VVU na Ukimwi kwa wadau wa uvuvi wa vijiji vya Ushongo, Stahabu, Pangani mashariki na Pangani magharibi na (wavuvi kumi na tano kwa kila kijiji) kuweza kutunukiwa vyeti kwa wavuvi  hao

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MIKUTANO WA MWAKA WA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA HALMASHAURI

    July 06, 2025
  • DAS PANGANI ATEMBELEA KUJIONEA MAENDELEO YA MAANDALIZI YA NANE NANE

    July 03, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA ATEMBELEA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANE NANE

    July 02, 2025
  • TANZIA

    July 01, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa