• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

ujenzidept

IDARA YA UJENZI

Idara ya ujenzi ni mojawapo ya idara kuu zinazounda Halmashauri ya Wilaya ya Pangani. Idara ya Ujenzi ni Idara iliyoundwa katika mamlaka ya Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa (TAMISEMI)kwa madhumuni ya Kusimamia na kutengeneza barabara za Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Kusimamia Ujenzi wa majengo ya Serikali na kutoa ushauri wa namna iliyobora ya ujenzi huo;

Pia miradi ya Mashirika yasiyo yaki – Serikali pamoja na kutoa ushauri wa ujenzi wa nyumba bora kwa wananchi , Kusimamia matengenezo ya magari, mitambo na nishati ya umeme kwenye majengo ya Serikali katika Halmashauri ya Wilaya.

Idara  ya Ujenzi husimamia ukarabati naujenzi wa majengo mbalimbali katika Halmashauri yaWilaya ya Pangani kama ifuatavyo:

  • Nyumba za waganga, zahanati na vituo vya afya
  • Nyumba za walimu wa shule za msingi na sekondari
  • Ujenzi wa madarasa katika shule za msingi na sekondari
  • Ujenzi/Ukarabati wa Ofisi za Idara mbalimbali za Halmashauri

Pia idara hutoa ushauri wa namna iliyobora ya ujenzi wa majengo katika miradi ya Mashirika yasiyo ya ki – Serikali pamoja na kutoa ushauri wa ujenzi wa nyumba bora kwa wananchi.

UMEME 

Idara ya ujenzi pia kuna kitengo cha umeme. Kitengo hiki kupitia mtaalamu wetu wa idara hufanya shughuli za ukarabati nauwekaji wa mfumo wa Umeme katika majengo yote ya Halmashauri na serikali yaliyopo hapa wilayani.

 MAGARI NA MITAMBO.

Idara ya Ujenzi huyafanyia matengenezo madogomadogo magari na mitambo ya serikali katika karakana yake iliyopo ujenzi, pia huratibu na kukagua magari yote ya Halmashauri kwaajili ya matengenezo mbalimbali kupitia mtaalamu wa magari wa Idara. Magari yote ya Halmashauri hukaguliwa kwanza na mtaalamu wa magari wa idara kabla ya kupelekwa kwa wazabuni kwaajili ya matengenezo makubwa

HalmashauriyaWilayaya Pangani kupitia Idara ya  ujenzi huzifanyia matengenezo barabara za Halmashauri na vijiji kwa kutumia fedha za mfuko wa barabara kama ifuatavyo:-

  • Matengenezo ya kawaida (Routine maintenance works)
  • Matengenezo ya sehemu korofi (Spot improvement works)
  • Matengenezo ya muda maalumu (Periodic maintenance works)
  • Ukarabati wa madaraja na makalavati(Bridges and culvert maintenance)

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa