• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA PANGANI YAZINDUA MAFUNZO YA KUINUA UBORA WA ELIMU.

siku ya kuwekwa : December 2nd, 2025

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Wakili Agape Fue, leo 2 Desemba 2025 amezindua rasmi mafunzo ya siku tano kwa Viongozi wa Jamii za Ujifunzaji (JZE) yanayofanyika katika Ukumbi wa TRC – Pangani.


Mafunzo haya yanayodhaminiwa na Mradi wa Shule Bora yamelenga kuongeza ujuzi kwa Walimu Wakuu wa shule za msingi katika mbinu shirikishi za ufundishaji kulingana na mtaala mpya—ili kuhakikisha watoto wanapata elimu bora, yenye ubunifu na matokeo chanya


Akizungumza kwenye uzinduzi huo, Wakili Fue ameushukuru Mradi wa Shule Bora kwa jitihada zake za kuboresha elimu nchini, na kusisitiza kuwa mafunzo haya ni hatua muhimu katika kuleta mabadiliko makubwa ya kielimu Wilayani Pangani.

Naye Mwakilishi wa Afisa Elimu Mkoa wa Tanga, Bi. Digna Tesha, amesema mafunzo hayo yataongeza uwezo wa walimu kukabiliana na changamoto za ujifunzaji darasani, na kuimarisha ushiriki wa wanafunzi kwa kuunda mazingira rafiki ya kujifunzia

Walimu washiriki wanatarajiwa kuibuka na ujuzi na mbinu mpya zitakazoongeza ufanisi wa ufundishaji, kupandisha kiwango cha ufaulu, na kuendelea kuliinua taifa kupitia e

limu bora.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • HALMASHAURI YA PANGANI YAZINDUA MAFUNZO YA KUINUA UBORA WA ELIMU.

    December 02, 2025
  • PANGANI YAADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIANI KWA KUTOA ELIMU

    December 01, 2025
  • TANGAZO LA MKUTANO WA KWANZA WA HALMASHAURI

    December 01, 2025
  • CAMFED PANGANI YAKETI KUJADILI MAENDELEO YA MRADI

    November 29, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Pangani Dc
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa