• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

Huduma za jamii

HUDUMA ZA JAMII SEKTA YA VIJANA.

Kwa kipindi cha robo ya pili (Oktoba-Desemba) Halmashauri kwa kushirikiana na mashirika binafsi ambao ni wadau wa maendeleo ya vijana Wilaya ilifanikiwa kuwapatia vijana mafunzo ya kama vile Kuwawezesha vijana katika ufuatiliaji wa rasirimali za umma katika sekta ya elimu,Kutoa elimu ya uzazi wa mpango kwa vijana.Jumla ya vijana 60 kwa nyakati tofauti waliweza kufaidika katika mafunzo hayo.Kwa kipindi hiki Halmashauri ilishirikinana na wadau wa maendeleo kama vile New Age Foundation(NAF) na Marie Stopes Tanzania.

MFUKO WA VIJANA

Kwa kipindi tajwa mfuko unaendelea vizuri na umefanikiwa kutoa kiasi cha Tsh 2,000,000/= kwa kikundi kimoja cha vijana kinachojishughulisha na ufugaji wa kuku.USHONGO CHICKEN PROJECT. Kwa ongezeko hili limepelekea Mfuko kuweza kuongeza kiwango cha mikopo kwa vijana na kufikia Tsh 39,500,000 kutoka Tsh 37,500,000 kwa ujumla. Mfuko bado unaendelea kufuatilia marejesho ya fedha za mikopo kutoka kwa vikundi vya vijana kwa fedha kutoka wizarani (Tsh 29, 5000, 000) na halmashauri (Tsh 10,000,000) na pia ufuatiliaji wa kesi ya marejesho ya fedha kutoka SACCOS ya vijana (Tsh 13,000,000) unaendelea na kesi bado iko mahakamani.

ASILIMIA TANO

Kwa mujibu ya bajeti ya 2016/2017 halmashauri ilitenga jumla ya Tsh 47,310,500 kama 5% ya mfuko wa maendeleo ya vijana. Jumla ya mapato ya halmashauri kwa nusu mwaka ni Tsh 201,806,359 na kwa kipindi cha robo ya pili imetolewa Tsh 2,000,000 na bado rimbikizo la Tsh 8,090,317.95 kulingana ma mapato halisi.Jitihada za utengaji wa 5% kulingana na bajeti husika na ukusanyaji wa mapato halisi unaendelea.

 

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa