• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

Pangani Yatoa Elimu ya Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia.

siku ya kuwekwa : February 6th, 2026



Pangani, 6 Februari 2026


Halmashauri ya Wilaya ya Pangani kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Wizara ya Nishati pamoja na wadau wa mazingira wakiwemo UNCDF na European Union, imetoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia, katika tukio lililofanyika leo katika Soko Kuu la Pangani.

Katika zoezi hilo, wananchi walipatiwa elimu kuhusu faida za kutumia majiko ya kisasa ya umeme, ambapo walionyeshwa kwa vitendo jinsi majiko hayo yanavyoweza kupunguza gharama za kupikia ikilinganishwa na matumizi ya mkaa au gesi.

 Wawezeshaji walieleza kuwa matumizi ya nishati safi si tu yanaokoa gharama kwa kaya, bali pia yanachangia kulinda afya za watumiaji na mazingira kwa ujumla.


Aidha, programu hiyo iliambatana na hamasa mbalimbali ikiwemo maswali na majibu kuhusu nishati safi ya kupikia, ambapo washiriki walioweza kujibu kwa usahihi walipatiwa zawadi kama njia ya kuhamasisha uelewa na ushiriki wa wananchi.


Juhudi hizi zinaonesha dhamira ya serikali na wadau wake katika kuhakikisha jamii inahamia kwenye matumizi ya nishati safi na salama, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa taifa wa kupunguza matumizi ya nishati chafu na kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • Pangani Yatoa Elimu ya Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia.

    February 06, 2026
  • Wizara ya Afya Yaimarisha Usalama wa Wagonjwa Pangani Kupitia Tathmini ya IPC.

    February 05, 2026
  • HABARI PICHA; WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI WACHUKUA FOMU ZA USAJILI.

    February 05, 2026
  • Wakandarasi wa REA Wawasili Pangani Kukamilisha Mradi wa Umeme

    February 03, 2026
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Pangani Dc
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa