• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

kilimo umwagiliaji na ushirika

SEKTA YA KILIMO:

80% ya wakazi wa Wilaya ya Pangani ni wakulima na wafugaji wadogowadogo na 20% ya wananchi waliobaki ni wavuvi, wafanyabiashara, wajasiriamali na wafanyakazi

MATUMIZI YA ARDHI

Shughuli za kilimo na ufugaji katika Wilaya ya Pangani zimechukua Hekta 63,876.75. ikiwa Hekta 25,800 hutumiwa na wakulima wadogowadogo, hekta 14,286.75 zinatumika na wakulima wakubwa wa mashamba ya mkonge, Hekta 23,790 zinatumika kwa malisho kati ya Hekta 122,500 zinazofaa kwa kilimo

MAFANIKIO YA SEKTA YA KILIMO

Wakulima wa korosho Kijiji cha Sange wamenunuliwa mashine za ubanguaji korosho.

Vikundi 7 vya uzalishaji miche ya korosho vimeanzishwa na hadi 2016/17 jumla ya miche bora ya Mikorosho 120,000 na itagawiwa bure kwa wakulima.

  • Kupitia mpango wa kuendeleza kilimo (ASDP) kikundi cha wakulima kijiji cha Mkalamo kimepatiwa trekta kubwa. Kwa kutumia trekta hili maeneo yanayolimwa yameongezeka kutoka ekari 300 hadi kufikia ekari 1,650 mwaka 2016
  • Kijiji cha Boza kimeweza kununua trekta la mkopo kupitia mfuko wa pembejeo.Aidha idara kwa kushirikiana na taasisi Islamic help imepata trekta kubwa litakalosaidia kuwalimia wakulima wenye kipato kidogo
  • Kupitia mpango wa kuendeleza Kilimo (ASDP) wakulima wa muhogo tarafa ya Madanga wamejengewa kituo cha kuchakata muhogo hivyo kuongeza mnyororo wa thamani  na kutatua changamoto ya soko la muhogo

•          Ushirika wa wakulima wa nazi wamenunua mashine za kuchakata    makumbi ya nazi hivyo kuongeza thamani ya zao la minazi

SEKTA YA USHIRIKA:

Wilaya ya Pangani ina jumla ya vyama vya Ushirika 30 vilivyoandikishwa, vikiwemo 5 vya mazao, 22 vya Ushirika wa Kuweka na Kukopa, 2 vya maziwa na 1 cha wavuvi. Aidha kuna vyama 2 vya mazao (AMCOS) ambavyo vimeshaundwa na maombi ya usajili yametumwa kwa msajili wa vyama kwa ajili ya kukamilisha uundaji wa chama. Vyama vyote vya Ushirika vina jumla ya wanachama 2,454 wa vyama mbalimbali vya Ushirika wakiwemo wanaume 1,560 na wanawake 857 na vikundi 37.

Kuna jumla ya SACCOS 22 zenye jumla ya wanachama 2,102. Thamani ya mafungu ni 10,400 yenye thamani 103,410,400, akiba ya TShs. 214,662,111.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa