• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

usafi na mazingira

MAZINGIRA

Wilaya inatekeleza kampeni ya usafi wa mazingira ikiongozwa na kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya ikishirikiana na Ofisi ya Mkurugenzi. Kupitia kampeni hii, wananchi pamoja na viongozi wa serikali za vijiji na watendaji hushiriki kikamilifu katika zoezi hili na limeleta mafanikio kwa kupunguza uchafu katika maeneo mengi ya mjini na vijijini. Aidha wilaya inasimamia usafi wa fukwe katika vijiji vilivyoko pembezoni mwa Bahari ya Hindi ili kuwa kivutio kwa watalii wanaofika kutembelea maeneo hayo.

Ili kuhakikisha kwamba fukwe zinakuwa safi muda wote, kamati za usimamizi wa mazingira ya Pwani (BMU) zimepatiwa mafunzo ya kufanya doria, kulinda na kuendeleza hifadhi na maliasili zilizopo katika maeneo hayo. Aidha, kamati hizi zimepatiwa vifaa vya usafi kutoka kwa wafadhili mbalimbali.

Katika kuhakikisha kwamba jamii inashiriki kikamilifu katika zoezi la usafi wa mazingira, elimu imeendelea kutolewa kupitia wadau mbalimbali kama vile; Asasi ya kuhifadhi Kasa (SEA SENSE) pamoja na Radio jamii (Pangani Fm radio) ambapo kuna kipindi maalum cha mazingira kinachorushwa kila siku ya Jumanne. Radio hii husikika katika maeneo yote wilayani na wilaya za jirani.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • SEA SENSE YAWAJENGEA UWEZO NA KUWEZESHA VIFAA VYA DORIA KWA BMU, WA BWENI WILAYANI PANGANI.

    June 18, 2025
  • PANGANI YAFANYA MAADHIMISHO YA SIKU YA KASA DUNIANI

    June 17, 2025
  • HALMASHAURI ZA MKOA WA TANGA ZAPONGEZWA, NA RC BATILDA KWA KUPATA HATI SAFI 2023/2024

    June 16, 2025
  • PANGANI YAFANYA KIKAO KUPOKEA NA KUJADILI TAARIFA ZA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

    June 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa