• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA ELIMU NA AFYA PANGANI YATOA WITO UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI

siku ya kuwekwa : January 8th, 2026

Kamati ya Elimu na Afya Pangani imetoa wito kwa wazazi na walezi kuhakikisha watoto wote wenye umri wa kuanza shule wanaandikishwa kwenye shule za msingi na sekondari ndani ya wilaya hiyo.

Hayo yamefanyika leo tarehe 8 Januari 2026, wakati wa kikao cha robo ya pili kwa mwaka wa fedha 2025/2026 kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri Mkoma.

kamati imeeleza kuwa bado kuna idadi ya watoto ambao hawajaandikishwa licha ya kuwa na umri unaostahili, jambo linaloweza kuathiri malengo ya wilaya katika kuinua kiwango cha elimu na ustawi wa jamii.

Vilevile, kamati imesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya wazazi, viongozi wa Vijiji na walimu katika kutoa elimu kuhusu madhara ya kutompeleka mtoto shule, pamoja na kuhakikisha watoto wanahudhuria masomo mara kwa mara.


Aidha, kamati imehimiza wananchi kutumia kipindi cha uandikishaji kinachoendelea na kusisitiza kuwa serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya shule na huduma za afya ili kuwezesha mazingira bora ya kujifunzia.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • Tangazo la zabuni.

    January 09, 2026
  • KAMATI YA ELIMU NA AFYA PANGANI YATOA WITO UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI

    January 08, 2026
  • HATUA YA UKARABATI MADARASA 10 SHULE YA MSINGI FUNGUNI WAFIKIA HATUA NZURI

    January 08, 2026
  • WAKAZI ZAIDI YA 3500 KUNUFAIKA UBORESHAJI HUDUMA ZA AFYA MKWAJA

    January 07, 2026
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Pangani Dc
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa