• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

Historia

1; JIOGRAFIA YA WILAYA

Wilaya ya Pangani ni miongoni mwa wilaya nane (8)  na Halmashauri kumi na moja (11) zinazounda Mkoa wa Tanga. Kijiografia Wilaya ya Pangani iko kusini mwa Jiji la Tanga, kwa upande wa Mashariki inapakana na Bahari ya Hindi, Magharibi Wilaya ya Handeni, Kaskazini Wilaya ya Muheza na Kusini Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani. Wilaya ipo Kms 47 kutoka Makao Makuu ya Mkoa. Wilaya ina ukubwa wa eneo la Kilomita za Mraba (KM 2) 1,830.8, na sehemu kubwa iko kwenye ukanda wa Pwani ambapo mto Pangani unaingia Bahari ya Hindi.

1.2: UTAWALA NA IDADI YA WATU

 Wilaya ya Pangani inaundwa na Tarafa 4, Kata 14, Vijiji 33 na vitongoji 96.  Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, Wilaya ilikuwa na jumla ya watu 54,025 kati ya hao wanaume walikuwa  ni 26,870 na wanawake 27,155 na kaya zilikuwa 13,177 Kwa sasa wilaya inakadiriwa kuwa na watu 59,502 wakiwemo wanaume 29,571  na wanawake 29,931, zipo kaya 14,413 zenye ukubwa wa wastani watu 4.1 kwa kaya. Ongezeko la watu kwa mwaka linakadiriwa kuwa ni 2.2% na msongamano wa watu kwa Kilomita moja ya Mraba (1Km2) ni watu 29.5.

Jedwali 1: Muundo wa Wilaya Kiutawala

 

TARAFA

IDADI YA KATA

IDADI YA VIJIJI

IDADI YA VITONGOJI

MADANGA

4

9

32

PANGANI

3

3

10

MWERA

5

15

39

MKWAJA

2

6

15

Jumla

14

33

96

 

 

2. HALI YA HEWA 

 

Wilaya ipo kwenye ukanda wa pwani, katika mwinuko kati ya mita 0 – 100 kutoka  usawa wa bahari.  Wilaya hupata mvua za Vuli, Masika na mchoo zenye wastani wa kati ya mm 1000 – 1500 kwa mwaka.

 

VULI              –  (Oktoba- Disemba) Wastani ni Mm 500- Mm 800

MASIKA        –  (Machi- Mei) Wastani ni Mm 1000- Mm 1400

MCHOO         –  (Julai- Agosti) Wastani ni Mm 100

3.0: HALI YA ULINZI NA USALAMA

 

 Hali ya usalama katika Wilaya kwa ujumla ni shwari na tulivu.  Hakuna matukio makubwa ya kihalifu yaliyojitokeza kwa kipindi kirefu sasa hali ni shwari. Katika kuimarisha ulinzi wa raia na mali zao wilaya imekuwa ikiendelea kutoa mafunzo ya Mgambo kila mwaka pamoja na mafunzo ya polisi jamii. Tunawashukuru wananchi kwa ushirikiano wanaotupatia. Aidha kwa kutumia vyombo vya Dola, Wilaya inaendelea kudhibiti makosa ya kawaida, Jinai, madai na usalama barabarani kwa mujibu wa sheria

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • DC PANGANI AKETI NA WAFUGAJI KUJADILI NA KUTATUA MIGOGORO YAO

    June 30, 2025
  • TANGAZO

    June 29, 2025
  • KAMPENI YA USAFI WA KILA MWISHO WA MWEZI

    June 27, 2025
  • PANGANI YAPOKEA CHANJO

    June 26, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa