• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI PANGANI LAOMBA SERIKALI UFUMBUZI KUKATIKA KWA UMEME

siku ya kuwekwa : April 30th, 2025

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Pangani yaiomba Serikali kutafuta ufumbuzi wa kudumu tatizo la kukatika kwa Umeme mara kwa mara Wilayani  Pangani.


Yamesemwa  hayo leo tarehe 30, Aprili 2025, kwa niaba ya Wananchi na Mh Akida Bahorera Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani katika Mkutano wa Baraza la Madiwani Robo ya Tatu ya mwaka wa fedha 2024/2025.


Mh Bahorera ameeleza kwamba Serikali Chini ya usimamizi wa Mh Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dkt.  Samia Suluhu Hassan imefanya maendeleo makubwa sana kwa Wilaya ya Pangani katika Sekta zote, Elimu, Afya, Miundombinu, Kilimo,Mifugo na Uvuvi lakini bado kuna hilo tatizo la Umeme kutokuwa na uhakika hali inayopelekea  Uchumi wa wananchi wa Wilaya ya Pangani kutoimarika kwa sababu asilimia kubwa ya wananchi wa Pangani uchumi wao unategemea zaidi Sekta ya Uvuvi ambapo matumizi ya Umeme ni lazima.


aidha ameeleza kwamba Wananchi wa Pangani waliambiwa tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara linatokana na miundombinu kuwa chakavu, kuwa na kituo kimoja cha kupoozea pamoja na njia ya umeme kuwa na miti,  lakini Serikali ilitoa fedha kutatua hayo yote ambapo kuhusu nguzo  Serikali ilileta nguzo za Zege, kuhusu Njia ya umeme ilitoa fedha za kutosha kusafisha njia kubwa ya umeme kuhakikisha nguzo zinakuwa salama muda wote na kuhusu Vituo vya kupoozea Serikali ilielekeza Pangani kupata umeme kupitia Muheza na Tanga Mjini.


Mhe Bahorera ameeleza kwamba kutokana na jitihada hizo zilizofanywa na Serikali wananchi hawaelewi ni kwanini bado Wilaya inaendelea kuwa na tatizo la Umeme kwa kiasi hicho.


Aidha mhe Bahorera ameiomba Serikali kufuatilia kwa karibu changamoto hiyo na kuhamasisha uwajibikaji na hatua stahiki kwa watendaji wachache wasiowajibika ambao kwa Uzembe wao wanaisababishia Serikali kuendelea kulalamikiwa na Wananchi na huku Wananchi kuendelea kupata hasara katika shughuli zao za kujikwamua kiuchumi wanazofanya.


Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 12, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa