• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA WAFANYAKAZI LAPITISHA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

siku ya kuwekwa : March 4th, 2025

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Ndugu Agape Fue, ambaye ni Mwenyekiti wa baraza la wafanyakazi, amefungua mkutano wa baraza hilo la kujadili na kupitisha rasimu ya mpango na bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Pangani kwa mwaka wa fedha 2025/2026, leo tarehe 04 Machi 2025, katika Ukumbi wa Zamani wa Halmashauri.

Afisa Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Ndugu Simeon Vedastus aliwasilisha rasimu ya mpango na bajeti ya Halmashauri kwa wajumbe wa baraza la wafanyakazi ili iweze kujadiliwa na kupitishwa katika baraza hilo kabla ya kuanza utekelezaji wake.

" Pamoja na maelekezo mbalimbali tulioelekezwa na Serikali lakini yapo mambo mbalimbali tuliyoyafanyia kazi ikiwemo posho za uhamisho kwa walimu wa shule za Msingi na Sekondari, madeni ya watumishi, madeni ya wazabuni, fedha za posho ya watendaji wa kata,fedha za madaraka kwa wakuu wa shule, waratibu Elimu kata na walimu wakuu, posho ya wito wa kuwepo kazini pamoja na uendeshaji wa ofisi za kata, hivyo Halmashauri yetu inatarajia kukusanya na kutumia jumla ya Shilingi bilioni 23.9 kwa Mwaka wa fedha 2025/2026 ". Alifafanua.

Wajumbe walipata nafasi ya kuchangia na kutoa mapendekezo mbalimbali ambayo kwa pamoja yalifanyiwa kazi na kuboreshwa.


Baraza la wafanyakazi lilipitisha rasimu ya mpango na bajeti, ambapo kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Pangani inatarajia kukusanya na kutumia kiasi cha Tshs Billioni 23.9 ikijumuisha fedha za mapato ya ndani, miradi ya maendeleo, mishahara matumizi mengineyo pamoja na ruzuku kutoka Serikali kuu.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI.

    May 23, 2025
  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa