• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

BIASHARA YA KABONI, YAWAVUTIA WAHESHIMIWA MADIWANI WA PANGANI

siku ya kuwekwa : December 20th, 2024

Biashara ya Kaboni (Hewa Ukaa) yawavutia Waheshimiwa Madiwani, Halmashauri ya Wilaya ya Pangani.

Timu ya Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani ikijumuisha Madiwani pamoja na Wataalamu wamefanya ziara Mkoani Katavi Wilayani Tanganyika kwa lengo la kujifunza namna ambavyo Halmashauri hiyo imetekeleza na kunufaika na Biashara ya hewa ukaa.

Ziara hiyo imefanyika leo tarehe 20 Desemba, 2024.


Awali akiwasilisha mada ya mradi wa hewa ya kaboni (ukaa ), Mkuu wa Kitengo cha Maliasili Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Bw.Bruno Mwaisaka amewaambia Madiwani na Wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, kuwa ili waweze kunufaika na Biashara ya Hewa ya Kaboni ni muhimu kuwepo kwa manufaa kwa jamii inayolinda misitu hiyo pamoja na ongezeko la thamani kwa msitu hio.

Ameongeza kuwa ni muhimu kuzingatia muongozo wa Kitaifa wa uanzishaji wa Biashara hiyo ya hewa ya kaboni pia Biashara ya kaboni ina mfumo wake kupitia shirika la Verra na ina masoko aina mbili ambalo ni la hiari na soko la umoja wa Mataifa. Alisema.


Kwa upande wake mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani mhe Akida Bahorera amesema kuwa Wilaya ya Pangani tuna misitu mizuri sana na elimu hii tulioipata leo itasaidia na sisi kuwekeza zaidi katika biasha hii yenye kuongeza pato kwa Halmashauri.


Hata hivyo mhe Haji  Haji diwani wa kata ya Madanga Wilayani Pangani ameonyesha kufurahishwa na  ziara hiyo na kusema kuwa ziara hii imetupa fursa ya kuelewa namna ambavyo wananchi watakavyo weza kunufaika kupitia Mradi wa Uvunaji wa Hewa Ukaa katika Misitu inayomilikiwa na Vijiji pamoja na Halmashauri.


Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • Tangazo la nafasi za kazi

    September 02, 2025
  • DC GIFT AZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA MIFUGO

    September 01, 2025
  • RASMI BARABARA ZA MITAA PANGANI ZABORESHWA

    September 01, 2025
  • PANGANI DC YAENDELEA KUNG’ARA SHIMISEMITA 2025.

    August 23, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Pangani Dc
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa