• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

DAS, AFISA ELIMU WATOA SOMO KWA WANAFUNZI WANAORIPOTI, NA KUANDIKISHWA PANGANI.

siku ya kuwekwa : January 9th, 2024

Katibu Tawala Wilaya ya Pangani Bi. Ester Gama akiambatana na Afisa Elimu Msingi ndg Juma Mbwela, wamewahimiza Wanafunzi walioripoti na walioandikishwa kuzingatia masomo yao.


Hayo yamefanyika leo 9 Januari 2024 wakati wa ukaguzi wa Uripoti na Uandikishwaji wa Wanafunzi katika Shule mbalimbali Wilayani Pangani.

Akizungumza na Wanafunzi wa Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari Tongani ndg Gama amewataka  Wanafunzi hao kushirikiana wao kwa wao katika masomo, na waendelee kuelekezana ili waweze kutimiza ndoto zao.

"Mimi niwaombe watoto wangu ili muweze kutimiza ndoto zenu jitahidini sana kuzingatia masomo na kuelekezana ninyi kwa ninyi, wewe unaejua hesabu kuwa mwalimu kwa mwenzako ili wote mfanye vizuri".


Kwa upande wake Afisa Elimu Msingi ndg Juma Mbwela amewataka Walimu wazidishe ubunifu zaidi katika kuwafundisha wanafunzi ili waweze kupata matokeo mazuri.

Kaimu mkuu wa shule hiyo  ndg Valerian Nestory Godfrey ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan na uongozi mzima wa Halmashauri ya Pangani kwa kuboresha mazingira mazuri ya Elimu.


"Kiukweli Uripoti na Uandikishaji wa Wanafunzi unaendelea vizuri toka jana tulipofungua Shule na Asilimia kubwa ya Wanafunzi wamekwisha ripoti, tayari wanaendelea na masomo yao,lakini pia tunaendelea kutoa woto kwa  wazazi kuendelea kuwaleta watoto kujiandikisha".

Ikiwa ni mwendelezo wa Uandikishaji na uripoti wa Wanafunzi Katibu Tawala Wilaya amepata nafasi ya kuzitembelea shule mbalimbali ikiwemo Shule ya Sekondari Tongani Shule ya Msingi Mkalamo, Shule ya msingi Mkwaja,Shule ya Sekondari Mkwaja,Shule ya Msingi kipumbwi, Shule ya Msingi Kipumbwi Pwani,  pamoja na Shule ya Sekondari Kipumbwi.



Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI.

    May 23, 2025
  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa