• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

DC ASHIRIKI HAFLA YA KUFUNGA MAFUNZO YA UTALII KWA VIJANA WA PANGANI.

siku ya kuwekwa : September 11th, 2023

DC ASHIRIKI HAFLA YA KUFUNGA MAFUNZO YA UTALII KWA VIJANA WA PANGANI.


Mkuu wa wilaya ya Pangani Mh. Zainab Abdallah, Septemba 11, 2023, ameshiriki hafla ya ufungaji wa Mafunzo ya Utalii kwa Vijana wa Pangani.


Hafla hio ya ufungaji wa mafunzo ya Siku tano (5) ya Utalii yaliotelewa na wakufunzi kutoka Chuo cha Taifa cha Utalii, ambapo mada mbalimbali kuhusu utalii zilifundishwa na njia bora za kutangaza na kutunza vivutio vilivyopo Pangani na faida zake.


Ufungaji wa Mafunzo hayo yamehudhuriwa na Mkuu wa Chuo cha Utalii Dkt Florian Mtey, Makamu mkuu wa chuo Jesca Willium, katibu tawala Ester Gama, Diwani wa kata ya Kimang'a mhe Mwandalo Salim, Pamoja na Makamu mkuu wa chuo cha Utalii.


Mhe Zainab ameishukuru menejiment nzima ya chuo cha utalii, na Serikali ya Pangani pamoja na wadau wote walioshiriki mafunzo haya.


Hata hivyo mhe Zainab Abdallah amesema kuwa ameunga mkono juhudi za Serikali za kutangaza Utalii kwa vitendo, na tayari amerekodi filamu ya vivutio vya utalii katika Wilaya ya Pangani.


Hata hivyo Mbunge wa Jimbo la Pangani mhe Jumaa Aweso amepongeza juhudi hizo na kutoa fursa kwa vijana kumi kuwasimamia katika masomo yao ya utalii kwa wale ambao watapata sifa za kwenda kujiunga na Chuo hiko, na kuahidi kuendeleza mafunzo hayo angalau kila mwaka ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi.


Kwa upande wake Mkuu wa Chuo cha Utalii dkt Florian Mtey, amemshukuru mkuu wa Wilaya ya Pangani kwa kuendelea kuipigania Pangani,na kuwa mzalendo wa kweli na kuongeza kuwa viongozi wa Pangani wanafanya kazi nzuri na Wilaya inawaka kwa maendeleo.


Hata hivyo ufungaji wa mafunzo hayo ulihusisha ugawaji wa Vyeti kwa wanafunzi walioshiriki pamoja na kupewa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi zaidi ya 20, katika Chuo cha Taifa cha Utalii .

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI.

    May 23, 2025
  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa