• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

DC PANGANI AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUIFUNGUA NCHI

siku ya kuwekwa : October 4th, 2023

Pangani_Tanga.


"Tunaomba mtusadie kufikisha Salamu zetu kwa Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan, kwa kazi nzuri na  kubwa anayoifanya hata katika kuiletea miradi mbalimbali ya maendeleo Wilaya yetu ya Pangani, likiwemo daraja la mto Pangani".

Hayo ameyasema  Jumanne ,Oktoba 3, 2023, Mkuu wa Wilaya ya Pangani mhe. Zainab Abdallah wakati wa Kongamano la Biashara na Uwekezaji,lililofanyika katika ukumbi wa YMCA, Pangani, na kuhudhuliwa na Wageni mbalimbali akiwemo Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara mhe Exaud  Silaoneka  Kigahe, ambae ndio mgeni rasmi wa Kongamano hili.


Aidha ameongeza kuwa hili ni Kongamano la ndani la Biashara na Uwekezaji lakini tarehe 7 tutakuwa na Kongamano kubwa jijini Dar es Salaam, hivyo tunawakaribusha sana.


DC, ametoa ombi la kuwa na bandari ya Mifugo kwasababu mifugo mingi inatokea katika ukanda wetu, kama kuna uwezekano wa kuwa na bandari maalumu hapa Pangani, kwani tunaweza kuwa na bandari yetu na hii itaongeza mapato ya Serikali na kuongeza pato kwa wananchi wetu, na tayari tuna muwekezaji ambae yupo tayari kuwekeza hapa Pangani.


Aidha ameiomba Wizara ya Biashara na Uwekezaji , kushuka chini mpka kwenye ngazi za Wilaya, na tuko tayari hata kutoa ofisi kwaajili ya watumishi wa Blera na Sido kuja kuanza kazi.


Mwisho ametoa wito kwa Wawekezaji kuja kuwekeza katika Wilaya ya Pangani na Mazingira ni salama kwa wawekezaji.

"Ni ukweli usiopingika kuwa kwa sasa Wilaya yetu hii ya Pangani imeshafunguka kibiashara, hivyo, ni wakati sahihi kwa wawekezaji kuja kuwekeza katika Wilaya hii kwani tunayo ardhi yenye rutuba na bora".


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Bw. Isaya M Mbenje, mapema leo Octoba 3,2023, Wakati wa Kongamano la Biashara na Uwekezaji Pangani.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI.

    May 23, 2025
  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa