• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

DC PANGANI NA WEMA SEPETU WATEMBELEA SHULE ZA KIPUMBWI, BUSHIRI, KIMANG'A NA MWERA

siku ya kuwekwa : August 21st, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Pangani Mhe. Zainab Abdallah na Mkurugenzi wa Taasisi ya Nasimama na Binti, Wema Isack Sepetu, wametembelea na kuzungumza na wanafunzi wa Shule za Sekondari Kipumbwi, Bushiri, Kimang'a na Mwera,zilipo wilayani Pangani.

Akiongea na wanafunzi wa shule hizo amewataka kuongeza bidii kwenye Elimu ili waweze kufanikiwa huku akitoa shukrani kwa Rais,Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuiwezesha Pangani kwenye miradi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa Shule.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Nasimama na Binti, Wema Isack Sepetu, amesema kuwa anamshukuru sana Mkuu wa Wilaya ya Pangani kwa kumpa mualiko wa kutembelea shule hizo,na ameahidi kuwa atawasaidia wanafunzi wakidato cha nne wa Shule ya Sekondari Kipumbwi, watakao pata daraja la kwanza kwenye mitihani yao na atawasimamia katika masomo yao mpaka watakapo maliza, sambamba na hilo Wema Sepetu, amegawa zawadi mbalimbali katika Shule hizo ikiwa ni pamoja na  Jezi,daftari, pamoja na madawati 50 kwa shule zote alizotembelea pamoja na Kalamu ili kuwasaidia wanafunzi hao kusoma kwa bidii.

 

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Mhe Akida Bahorera amepongeza juhudi za Mkuu wa Wilaya pamoja na Wasanii wote waliojitokeza kutembelea Shule hizo mbili kwani ujio wao umeleta chachu ya taaluma kwa Wanapangani  na ametoa wito kwa Wanafunzi wa Mwera na Kipumbwi kuendelea kuongeza juhudi katika elimu.

Katika ziara hii DC ameambatana na Wasanii wengine ambao ni Maarifa,Mimah Pamoja na Ruby, kwaajili ya kuendelea kutoa Elimu kwa Wanafunzi juu ya masuala mbalimbali.

Ziara hii itahitimishwa Agosti 19, 2023 na itaambatana na uzinduzi wa kampeni ya NIACHE NISOME PANGANI INANITEGEMEA, na Mgeni Rasmi atakuwa Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda.

#panganimpya

#niachenisome

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI.

    May 23, 2025
  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa