• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

DED PANGANI AKAGUA MAPOKEZI NA URIPOTI WA WANAFUNZI WA AWALI , DARASA LA KWANZA NA KIDATO CHA KWANZA.

siku ya kuwekwa : January 8th, 2024

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Bwa Isaya M Mbenje (mwenye miwani) akiambatana na Afisa Elimu Msingi, Bw Juma Mbwela wamekukagua Uwandikishaji na Uripoti wa Wanafunzi katika Shule mbalimbali Wilayani Pangani.


Zoezi hilo limefanyika  Januari 8, 2024 ambapo Shule za Msingi na Sekondari zimeanza kupokea na kuandikisha wanafunzi wa Awali na Darasa la kwanza pamoja na wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2024.

Mkurugenzi ameendelea kutoa wito kwa Wazazi  na Walezi kuwaandikisha watoto wenye umri wa kuanza masomo kwaajili ya kupata Elimu na kuwasisitiza wale wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza kuripoti na kuanza masomo kwa muda uliopangwa.


Kwa upande wake Afisa Elimu Msingi Bw  Juma Mbwela amesema  kuwa Serikali chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imeboresha mazingira ya kujifunzia ikiwemo kujenga Shule na kuboresha miundombinu ya kujifunzia, hivyo ni jukumu la kila mzazi kuhakikisha anapeleka

mtoto Shule.


"Tayari mpaka sasa uripoti wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule zetu unaenda vizuri na Uandikishaji wa Darasa la kwanza na Awali upo hatua nzuri pia"


Miongoni mwa Shule zilizotembelewa ni pamoja na shule ya Msingi Mwera,shule ya Msingi Pangani,Shule ya Sekondari Funguni,Bushiri na Masaika ambapo hadi sasa uandikishaji upo hatua nzuri na uripoti wa wanafunzi upo vizuri na tayari kwa kuendelea na masomo yao.

#panganimpya

#Elimubora

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • Tangazo la nafasi za kazi

    September 02, 2025
  • DC GIFT AZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA MIFUGO

    September 01, 2025
  • RASMI BARABARA ZA MITAA PANGANI ZABORESHWA

    September 01, 2025
  • PANGANI DC YAENDELEA KUNG’ARA SHIMISEMITA 2025.

    August 23, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Pangani Dc
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa