• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

DIVISHENI YA AFYA, USTAWI WA JAMII NA LISHE IMEADHIMISHA KILELE CHA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA KWA MTOTO

siku ya kuwekwa : August 7th, 2023

Maadhimisho hayo yamefanyika leo Agosti 7,2023, katika kata ya Mwera Wilayani Pangani na kuhudhuriwa na Mganga Mkuu Hospitali(W), Diwani wa Kata ya Mwera, Mwenyekiti wa Ccm Kata, Afisa Mtendaji, Mwenyekiti wa Kijiji na Wanakijiji wa kata hio, pamoja na  Wataalamu mbalimbali kutoka hospitali ya Wilaya ya Pangani.

Wataalamu hao wametoa elimu ya Unyonyeshaji, wamefanya Tathmini ya hali ya lishe kwa watoto chini ya miaka mitano (5) kwa kutumia kamba ya MUAC, Kupima uwiano wa urefu kwa Uzito kwa watu wazima,kufanya mapishi ya mfano yenye kuzingatia Lishe bora.

Afisa Lishe (W) Ndg Daud Mwakabanje amesema kuwa  maziwa ya mtoto ni muhimu kwani yana viini kinga vyenye faida kwa mtoto na kuwataka wazazi wanyonyeshe maziwa hayo ndani ya kipindi cha miezi 6 ili kuwezesha ukuaji bora na kuelimisha jamii juu ya unyonyeshaji bora kwa watoto ikiwemo kuacha kutumia simu wakati wa kunyonyesha kwani suala la unyonyeshaji ni suala la kihisia.

Aidha Afisa Tarafa wa kata ya Mkwaja  Ndg, Shadrack George ambae amemuwakilisha mgeni rasmi Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amewapongeza wananchi kwa kujitokeza na kutoa rai kwa wakina mama kuendelea kuwanyonyesha maziwa watoto kadri wataalamu wa afya wanavyoelekeza.


                                                                                                                       

Kwa upande wake mganga Mkuu  wa Hospitali ya  Wilaya ya Pangani Ndg, Ramadhani Hussein amesema kuwa, Unyonyeshaji wa Maziwa ya Mama kwa Mtoto yanafaida nyingi sana ikiwa ni pamoja na kuimarisha ukuaji bora kwa mtoto na amewapongeza pia kwani maendeleo ya lishe kwa watoto wao yapo vizuri. Ameongeza kuwa jambo la Lishe ni jambo la Kitaifa  na Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesaini mikataba na wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi juu ya Lishe, hivyo tulichukulie kwa uzito kwaajili ya manufaa ya Taifa letu.

Maadhimisho ya Unyonyeshaji wa maziwa ya Mama kwa mtoto Duniani,yalianza tarehe 1.8.2023  chini ya kauli mbiu ya "Saidia Unyonyeshaji, Wezesha Wazazi kulea Watoto  na Kufanya kazi zao kila Siku" na kuhitimishwa leo tarehe 07.08.2023.

                                                                                                                                                                      

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI.

    May 23, 2025
  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa