• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI NA CHUO CHA TAIFA CHA UTALII (NCT), WATOA MAFUNZO YA UTALII KWA VIJANA WA PANGANI

siku ya kuwekwa : September 6th, 2023

Chuo cha Utalii cha Taifa,kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, wametoa mafunzo wezeshi kwa Vijana walio katika Mnyororo wa Utalii Wilaya ya Pangani.

Akifungua mafunzo  hayo ya siku 5 yaliofanyika katika ukumbi wa zamani wa Halmashauri lSeptemba 5,2023, Mkuu wa Wilaya ya Pangani Mhe Zainab Abdallah Issa, ambae amehimiza kuendeleza utamaduni wa kuthamini na kuendeleza utalii uliopo Pangani

"Mungu ametupa neema ya kuwa karibu sana na Zanzibar pamoja na jiji la kibiashara la Dar es Salaam na Jiji la Utalii Arusha,hivyo tunapambana kuifufua Pangani ,tunaendelea kumshukuru Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuiwezesha Pangani fedha za Miradi ya maendeleo na Mbunge wetu Jumaa Hamidu Aweso kwa kuendelea kutushika mkono wana Pangani". Sekta hii ya utalii inachangia asilimia 25 ya pato la Taifa hivyo ni sekta ya kimkakati".

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendajii Isaya Mbenje amesema kuwa mafunzo haya ni kuwajengea uwezo wa kuijua vizuri sekta  ya utalii  Vijana wa Pangani ili wazidi kuwa mabalozi wazuri wa Sekta hii ya Utalii Nchini Tanzania, ili kuweza kuutangaza utalii na Vivutio vyake vilivyopo kwa Ujumla.

Kwa upande wake mtoa mada kutoka chuo cha Taifa cha Utalii Tanzani bwan Roman Lasway amesema kuwa sekta ya Utalii inahitaji wataalam ili waweze kutoa huduma iliobora. Pangani yapo mazingira mazuri yenye kuvutia wageni hivyo Mafunzo haya ni muhimu sana kwani yatafungua dunia ya utalii kwa ujumla.

" Utalii ni moja kati ya sekta zinazoleta mapato kwenye nchi yetu, hivyo ni lazima tuilinde na tuitangaze kwa maslahi mapana ya Taifa letuMwenyekiti wa Halmashauri Akida Bahorera amemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kuendelea kuwakumbuka wakazi wa Pangani na kuwapa fursa hizi za maendeleo.

Wilaya ya Pangani ina vivutuo vingi vizuri vya utalii kama vile Mto Pangani wenye sifa ya pekee kama vile maji yake kukutana na Maji ya Bahari,mbuga bora ya Saadani,Mlima Mashado kuona mji wote wa Pangani, jiwe mwana unguja ,kisiwa cha Maziwe,na vivutio vingine vingi vyenye kuupendeza.

Vijana 20 watakao fanikiwa kufaulu vizuri mafunzo haya watapata nafasi ya kusoma mafunzo ya muda mrefu katika chuo cha Taifa cha Utalii, ili kuendeleza sekta ya Utalii Pangani.

#wekezapangani

#utaliinimali

#karibupangani



Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI.

    May 23, 2025
  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa