• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

HISTORA MPYA YA ELIMU PANGANI.

siku ya kuwekwa : February 1st, 2019

Halmashauri ya wilaya ya Pangani yashika nafasi ya kwanza kimkoa (TANGA)Matokea ya kidato cha nne  yaliyotangazwa  mnamo tarehe 24/01/2019

Kwa mwaka wa fedha 2017/2018 Tumetoka kuwa Wilaya ya 164 (2017) na sasa Wilaya ya 50 (2018) Halmashauri zote nchini.akiongea mara baada ya kutangazwa matokeao hayo mkuu wa wilaya ya Pangani alisema “Pangani tumeamua kuweka kipaumbele chetu cha kwanza kwenye elimu na tumesimamia kwa vitendo


Tulifanya ziara kwa kushirikiana na viongozi wa chama na serikali ndani ya vijiji vyote 33 na tukatembelea shule zote za serikali na Binafsi kuhamasisha chachu ya ufaulu.
Ushirikiano na kufanya kazi kwa bidii kwa viongozi wilaya ya Pangani kuanzia Ofisi ya Mkuu wa Wilaya chini ya DC,DAS,Afisa Tawala na Maafisa Tarafa pia Halmashauri chini ya Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Halmashauri na zaidi Mbunge.

Alielezea mambo saba yaliyochangia Halmshauri kupata matokea hayo ambayo ni pamoja na  
1.Kuhakikisha kila shule wanafanya mitihani ya majaribio kila wiki, kwa kata kila mwezi, kwa wilaya kila baada ya miezi mitatu na mkoa kila baada ya miezi sita. Na mitihani hii ishindanishe government na private schools ili tujue status ya shule zetu za serikali ikoje.
2. Kuhakikisha kila shule kuna upatikanaji wa chakula. Wanafunzi wanaokula vizuri na umakini wao darasani huongezeka.
3. Kuboresha miundombinu ya shule kwa kuhakikisha kila kaya wanachangia matofali 5 ambayo ni sawa na shilingi 7,500/= kwa kaya. Fedha hizi zikipatikana zisaidie kupunguza changamoto ya uhaba wa madarasa na matundu ya vyoo mashuleni.
4. Madarasa ya mitihani wanafunzi wote wakae kambi ili wapate mda wa kutosha wa kujisomea na kujiaandaa na mitihani.
5. Walimu na wanafunzi watakao fanya vizuri wapatiwe motisha ili waendelee kufanya vizuri zaidi.
6. Kuhakikisha tunapunguza au kuondoa mimba na ndoa za utotoni kwa kufuata sheria. Iundwe kamati ya wilaya ya kufuatilia maadili ya wanafunzi na walimu;
7. Kuwe na vikao vya mara kwa mara kuwahimiza wazazi juu ya umuhimu wa elimu na kufuatilia mara kwa mara progress za watoto wao.

Tumedhamiria kusimamia kipaumbele chetu cha Elimu na tunatarajia kufikia malengo ya kuiinua wilaya hii ambayo ukombozi wake na urithi ni Elimu

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA DKT SAMIA

    May 11, 2025
  • TANGAZO LA UJIO WA MADKTARI BINGWA WA DKT SAMIA AWAMU YA PILI

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI PANGANI LAOMBA SERIKALI UFUMBUZI KUKATIKA KWA UMEME

    April 30, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI PANGANI LAKETI KUJADILI UTENDAJI KAZI KWA ROBO YA TATU KUANZIA MWEZI JANUARI HADI MACHI 2024/2025

    April 30, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa