• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA AFYA YA MSINGI YAJADILI ZOEZI LA UHAMISHAJI MAKABURI YATAKAYOA THIRIWA NA UJENZI WA BARABARA YA PANGANI_MAKURUNGE LOT 2 NA LOT 3.

siku ya kuwekwa : January 3rd, 2024

Kamati ya Afya ya Msingi ya Halmashauri ya Wilaya ya Pangani imefanya kikao kujadili zoezi la uhamishaji wa Makaburi  yatakayo athiriwa na ujenzi wa barabara ya kutoka Pangani hadi Makurunge, hii ni baada ya kupokea barua kutoka kwa Meneja wa Wakala wa barabara.


Kikao hicho kimefanyika leo Januari 3, 2023 katika ukumbi wa Zamani wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani.

Akifungua kikao hicho kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Katibu Tawala Wilaya ya Pangani ndg Ester Gama amesema kuwa jumla ya Vijiji 8,vilivyopo Pangani vimeathiriwa na Mradi huo na miongoni mwa Vijiji hivyo ni pamoja na kijiji cha Pangani Magharibi , Bweni ,Mzambarauni,Mwera,Mikinguni,Tungamaa, Makorora pamoja na Mikocheni vyenye jumla ya Makaburi 348.


Akisoma taarifa ya utekelezaji wa mradi huo ndg Timothy Mgaya Afisa  Afya amesema kuwa  Halmashauri ya Wilaya ya Pangani imepokea jumla ya Shilingi milioni 122,437,500 kutoka kwa Wakala wa barabara(TANROAD) kwaajili ya Uhamishaji wa Makaburi,ambapo kiasi cha milioni 91,477,500 ni uhamishaji wa makaburi 258 kwa Lot 2 na milioni 30,960,00 ni uhamishaji wa Makaburi 90 kwa Lot 3.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Jamii mhe Akida Boramimi amesema kuwa zoezi hili linagusa moja kwa moja ushiriki wa Wananchi katika eneo husika na ametoa wito kwa kila anaestahiki aweze kupata stahiki yake.


Aidha bwa. Bora Mimi amewataka Viongozi katika Serikali za Vijiji kufanya Mikutano ya Hadhara kutaarifu umma uwepo wa zoezi hili.


Zoezi hilo litahusisha shughuli muhimu zikiwemo, Ununuzi wa Vitendea Kazi, pamoja na Zoezi la Ufukuaji na Uzikaji upya wa Makaburi yatakayo athiriwa na Mradi.



Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI.

    May 23, 2025
  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa