• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Lishe yafanya Kikao cha kujadili taarifa za utekelezaji wa Afua za Afya na Lishe kwa Kipindi cha Robo ya PILI OKTOBA- DISEMBA, 2023/2024.

siku ya kuwekwa : February 15th, 2024



Kamati ya Lishe yafanya Kikao cha kujadili taarifa za utekelezaji wa Afua za Afya na Lishe kwa Kipindi cha Robo ya PILI OKTOBA- DISEMBA, 2023/2024.

Kamati ya Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Pangani  leo Februari 15, 2024 imefanya Kikao cha kawaida katika Ukumbi wa Halmashauri, Kujadili na Kupokea taarifa za utekelezaji wa Afua za Afya na Lishe kwa kipindi cha Robo ya Pili kuanzia Oktoba  hadi Disemba 2023/2024.

Akifungua kikao hicho kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Bw. Simeon Vedustus  amesema kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani inatekeleza Afua za Lishe kwa vitendo kwani Serikali ya Tanzania imeendelea kulipa umuhimu  suala la Lishe bora.

"Taifa likiwa na watu wenye Afya basi shughuli zinafanyika kwa ubora na usahihi, hivyo ni jukumu letu kulisimamia vizuri suala hili kwa manufaa ya vizazi vyetu".


Kwa upande wake Afisa Lishe wa Halmashauri ya  Wilaya ya Pangani ndg Daud Mwakabanje amesema kuwa shughuli mbalimbali za utekelezaji wa Afua za Lishe zimefanyika na zimeleta faida kubwa, utoaji wa Elimu ya Chakula na Afya zimetolewa Shuleni, pamoja na upimaji wa uwiano wa uzito na urefu, kwa kipindi cha robo hii ya Pili.


Aidha, katika kikao hicho wajumbe wameahidi kuongeza jitihada zaidi kuhamasisha na kutoa Elimu kwa Wananchi juu ya masuala ya Lishe ili kuboresha Afya.


Divisheni mbalimbali ziliwasiliisha taarifa za utekelezaji wa Afua za Afya na Lishe kwa kipindi cha robo ya Pili, ikiwemo  Divisheni ya Huduma za Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe , Idara ya Mipango na Uratibu,  Elimu Awali na Msingi,  Elimu Sekondari,  Idara ya Maendeleo ya Jamii,  pamoja na Idara ya Fedha na Mipango.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MIKUTANO WA MWAKA WA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA HALMASHAURI

    July 06, 2025
  • DAS PANGANI ATEMBELEA KUJIONEA MAENDELEO YA MAANDALIZI YA NANE NANE

    July 03, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA ATEMBELEA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANE NANE

    July 02, 2025
  • TANZIA

    July 01, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa