• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

MIAKA 62 YA UHURU WAZEE PANGANI WATHIBITISHA MAFANIKIO MAKUBWA SEKTA YA ELIMU NA AFYA.

siku ya kuwekwa : December 9th, 2023


Kuelekea maadhimisho ya miaka 62 ya Uhuru wa Tanganyika, wananchi Halmashauri ya Wilaya ya Pangani wamekiri kuwepo mafanikio makubwa katika sekta za elimu na afya, yaliyotokana na juhudi za Serikali.

Wananchi hao wamedhibitisha hayo, wakati wa Mdahalo maalum uliowashirikisha wakazi wa halmashauri ya Pangani uliojadiri "Miaka 62 ya Uhuru, tulipotoka, tulipo na tunapoelekea".

Mdahalo huo uliongozwa na  wananchi wamebainisha matokeo ya mapambano dhidi ya ujinga yanayojidhihirisha wazi, kutokana na ongezeko la wasomi lililotokana na uwepo wa shule na vyuo vya kati na vikuu katika mikoa yote nchini, uliotoa fursa ya kila mtanzania kupata elimu.


"Kwa sasa Serikali imetoa fursa kila mtanzania kuwa na haki ya kupata elimu, kuanzia elimu ya awali mpaka chuo kikuu, tofauti kabla ya Uhuru elimu ilitolewa kwa ubaguzi, kubwa zaidi uwepo wa shule za serikali kila kata, za mashirika  na  binafsi kwa ujumla zimepanua wigo wa wananchi kuondokana na ujinga".


Mzee Sekibaha amezungumzia hali halisi ya mabadiliko katika sekta ya usafiri na usafirishaji, watanzania wakiwa wanajivunia maendeleo ya miundombinu ya barabara zinazofikika.

" katika Wilaya yetu tuna raha sisi wana pangani, barabara yetu inapitika".


 Kwa upande wake bw Athuman Ally maarufu kama mzee Pwagu amezungumzia mabadiliko makubwa katika mji wetu wa Pangani.


"Maendeleo ya zamani na sasa ni tofauti, kwa sasa sote tunajionea vijana wetu wanasoma vizuri, hospitali pia tumepatiwa". Tunawashukuru viongozi wetu mbunge wetu Jumaa Aweso pamoja na Mkuu wetu wa Wilaya bi Zainab Abdalla, na tuko pamoja na viongozi wetu wote katika Wilaya yetu.


Serikali imefanikiwa kuboresha sekta ya afya kwa kusogeza huduma za afya, karibu na wananchi kwa kuhakikisha kila Tarafa inakuwa na kituo cha afya.



Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MIKUTANO WA MWAKA WA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA HALMASHAURI

    July 06, 2025
  • DAS PANGANI ATEMBELEA KUJIONEA MAENDELEO YA MAANDALIZI YA NANE NANE

    July 03, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA ATEMBELEA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANE NANE

    July 02, 2025
  • TANZIA

    July 01, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa