• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

MKURUGENZI PANGANI AWATAKA WATUMISHI WA AJIRA MPYA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

siku ya kuwekwa : July 28th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Bw. Charles Edward Fussi, amewataka watumishi wapya waliopata ajira katika Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi kufanya kazi kwa uadilifu, kujituma na weledi mkubwa ili kuleta maendeleo na kuwahudumia wananchi kwa ufanisi.

Akizungumza na watumishi hao leo tarehe 28 Julai 2025 katika ofisi yake iliyopo Mkoma, Bw. Fussi amesema Serikali imewekeza rasilimali nyingi kuajiri wataalamu hao, hivyo ni jukumu lao kuhakikisha wanakuwa chachu ya maendeleo hususan katika sekta za uzalishaji.

“Mmekuja kusaidia wananchi, si kwa maneno bali kwa matendo. Hakikisheni mnafika kwa wakulima, wafugaji na wavuvi, kusikiliza changamoto zao na kutoa suluhisho la kitaalamu,” alisema.


Aidha, aliwataka kuwa mfano wa kuigwa katika nidhamu ya kazi, kuheshimu taratibu za utumishi wa umma na kushirikiana na watumishi waliowakuta kazini kwa ajili ya kujifunza zaidi.


Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • DC SEBABILI AMUAKILISHI RC, UTATUZI WA KERO ZA WANANCHI PANGANI

    November 24, 2025
  • VIJANA PANGANI WAISHUKURU SERIKALI MIKOPO YA ASILIMIA 10

    November 24, 2025
  • JITOKEZE KUPIGA KURA TAREHE 29 OKTOBA 2025

    October 07, 2025
  • DC PANGANI AONGOZA KIKAO CHA TATHIMINI YA AFUA ZA LISHE ROBO YA NNE MWAKA 2024/2025

    October 03, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Pangani Dc
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa