• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

MRADI WA MAJI WA MILIONI 500 WANUFAISHA KAYA 600 PANGANI.

siku ya kuwekwa : April 17th, 2025

Serikali kupitia Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), imetekeleza mradi wa maji safi na salama wenye thamani ya shilingi milioni 500 katika Kijiji cha Tungamaa, wilayani Pangani mkoani Tanga, ambapo zaidi ya kaya 600 zimeanza kunufaika na huduma hiyo.


Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Burian, Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Gift Msuya, alisema mradi huo umeongeza kiwango cha upatikanaji wa maji wilayani humo hadi kufikia asilimia 86 kwa vijiji na asilimia 76 kwa maeneo ya mijini.


“Tunatarajia kufikia lengo la asilimia 100 ya upatikanaji wa maji safi na salama kwa wakazi wa wilaya ya Pangani ifikapo Desemba mwaka huu, kama ilivyo katika mipango ya serikali ya awamu ya sita,” alisema Msuya.


Alisema serikali itaendelea kutekeleza miradi ya maji kwa kasi ili kuhakikisha wananchi, hasa wa vijijini, wanapata huduma hiyo kwa ukaribu zaidi, ikiwa ni utekelezaji wa Sera ya Maji inayotaka mwananchi kutotembea zaidi ya mita 400 kufuata huduma ya maji.


Meneja wa RUWASA Mkoa wa Tanga, Mhandisi Upendo Lugongo, alisema utekelezaji wa mradi huo umezingatia viwango na ubora unaostahili, na umeleta mafanikio makubwa katika kuboresha maisha ya wananchi wa Tungamaa.


“Kwa sasa wananchi wameanza kupata maji moja kwa moja majumbani mwao, jambo ambalo limepunguza adha ya kutumia muda mwingi na nguvu kutafuta maji mbali na makazi yao,” alisema Lugongo.


Mradi huo ni sehemu ya jitihada za serikali za kuondoa changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji vijijini, na kuimarisha ustawi wa jamii kwa ujumla kupitia utekelezaji wa ajenda ya maendeleo ya taifa.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 12, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa