• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

MRADI WA MIJI 28 KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI PANGANI, MUHEZA, KOROGWE NA HANDENI

siku ya kuwekwa : December 11th, 2023


Leo Disemba 11,2023 wajumbe wa kamati ya Siasa Wilaya ya Pangani chini ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya CDE Abdallah M Abdallah wamefanya ziara na kukagua mradi wa  Miji 28, unaotekelezwa, Boza Wilayani Pangani.


Akitoa taarifa ya utekelezaji wa Mradi huo  wa Miji 28 mhandisi bwa.  Salim Ngumba  amefafanua kuwa-"


"Mtekelezaji wa programu hii ni Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Dkt Samia Suluhu Hassan ambayo imetoa jukumu hilo kwa wizara ya maji katika mkoa wa Tanga".chini ya mhandisi mshauri WAPCOS LTD na Mkandarasi ambae ni JWIL INFRA LTD.


Ameongeza kuwa mradi huu wa Maji utanufaisha Wilaya Nne (4), zikiwemo Handeni, Muheza,Korogwe pamoja na Pangani.

Akiongea mala baada ya upokeaji wa Taarifa hiyo Mkuu wa Wilaya ya Pangani mhe Zainab Abdallah amesema kuwa anaishukuru Serikali chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani Mradi huu wa kimkakati umesanifiwa ili kuongeza hali ya upatikanaji wa Maji Safi na Salama katika Miji ya Pangani, Muheza, Korogwe na Handeni. Amewataka wakandarasi kukamilisha mradi huo kwa wakati.


Mhe Zainab Abdallah ameongeza kuwa-"


"Niendelee kumshukuru Waziri wa Maji mhe Jumaa Aweso kwa kuendelea kuipigania Wilaya yetu ya Pangani hasa katika miradi hii ya maendeleo".

Aidha kwa upande wake Mwenyekiti wa Ccm Wilaya ya Pangani Cde Abdallah amesema anaipongeza Serikali kwa kuiwezesha Pangani Fedha za mradi huu kwani utakapokamilika utatoa fursa za upatikanaji wa maji safi na salama kwa masaa yote 24.


Aidha wakandarasi wameahidi kukamilisha Mradi huu  ifikapo Disemba 2024.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • Tangazo la nafasi za kazi

    September 02, 2025
  • DC GIFT AZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA MIFUGO

    September 01, 2025
  • RASMI BARABARA ZA MITAA PANGANI ZABORESHWA

    September 01, 2025
  • PANGANI DC YAENDELEA KUNG’ARA SHIMISEMITA 2025.

    August 23, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Pangani Dc
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa