• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

MWENGE WA UHURU WALETA NEEMA, ZAHANATI YA MWEMBENI.

siku ya kuwekwa : June 14th, 2025

Hayo yamethibitishwa leo tarehe 14 juni 2025, wakati Mwenge wa Uhuru ulipotembelea na kuridhishwa na utekelezaji wa mradi huo na kupelekea kuwekwa jiwe la Msingi.

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa mradi huo Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani bi Sophia amesema kuwa " Ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mwembeni ulianza kutekelezwa mnamo tarehe 19 Februari, 2024 kupitia Halmashauri,  wananchi wa kijiji cha Mwembeni na Wadau mbalimbali wa maendeleo". Alisema


Aidha aliongeza kuwa Hadi kufikia tarehe 13 Mei, 2025 vimepokelewa vifaa na fedha taslimu zenye jumla ya Shilingi Milioni 80,956,900.00 katika mradi huu ambapo zinajumuisha fedha kutoka Mapato ya ndani ya Halmashauri, fedha na vifaa toka Wadau mbalimbali, vifaa toka Mfuko wa Jimbo na nguvu za wananchi zimetumika kutekeleza mradi huu.

Akiongea mala baada ya kupokea taarifa hiyo, kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa ndg Ismail Ali Usi amesema kwa kweli wananchi wa Mwembeni wameonyesha uzalendo kwa kuupokea Mwenge wa Uhuru.


" Tunajionea faraja kwa kuona wananchi wanaenda kupata huduma bora kwa miundombinu hii ya afya, na hii ni ahadi ya Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhakikisha anaendelea kuboresha miundombinu ya afya katika maeneo yetu " Alisisitiza.


Sambamba na hilo Halmashauri ya Wilaya ya Pangani inatoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna ya pekee anayoendelea kuboresha Huduma za afya katika Wilaya yetu kwa upande wa miundombinu, dawa na vifaa tiba. Aidha, wadau wote na wananchi wa Mwembeni kwa michango yao ya hali na mali katika ujenzi wa zahanati hii.





Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA ATEMBELEA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANE NANE

    July 02, 2025
  • TANZIA

    July 01, 2025
  • DC PANGANI AKETI NA WAFUGAJI KUJADILI NA KUTATUA MIGOGORO YAO

    June 30, 2025
  • TANGAZO

    June 29, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa