• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

MWENGE WA UHURU WAZINDUA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA RADIO PANGAN FM 107.5

siku ya kuwekwa : April 16th, 2024


Mwenge wa Uhuru umekagua na kuzindua mradi wa  Ujenzi wa jengo la Radio Pangani Fm 107.5 lililopo Boza Wilayani Pangani.


Hayo yamefanyika leo Aprili 16,2024 ,Mwenge wa Uhuru ulipotembelea na kukagua mradi huo.


Akiwasilisha taarifa ya mradi huo Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi hiyo ya kiraia  ndugu Novatus Urassa amesema kuwa Pangani Fm  Radio inayomilikiwa na asasi ya  UZIKWASA ina lengo la kuwasaidia viongozi na wananchi kuwasiliana juu ya masuala mbalimbali ya kimaendeleo.

"Tunamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuweka Mazingira rafiki yanayowezesh a asasi za kiraia ikiwemo asasi hii kutekeleza majukumu yake ndani ya Nchi  yetu ".


Akizungumza mala baada ya ukaguzi wa mradi huo kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa ndugu Godfrey Mnzava amesema kuwa_:


"Tunawapongeza sana watu hawa kwani hata TRA wameendelea kuwatambua katika ulipaji wa mapato, hivyo Mwenge wa Uhuru upo tayari kwa ufunguzi wa jengo hili".

Bwan Urassa ameongeza kuwa hadi sasa mradi huu umegharimu Shilingi milioni 777 fedha zilizotokana na wafadhiri ( Bread for the World kutoka Ujerumani) na kubainisha kuwa hadi sasa Pangani Fm Radio imetoa ajira za kudumu  33 ambapo wakike 14 na Wakiume 19.


Radio hii inatoa fursa kwa wananchi wa Pangani na maeneo jilani kupata habari mbalimbali zilopo ndani na nje ya nchi.

# "Tunza Mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu".#


Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • Tangazo la nafasi za kazi

    September 02, 2025
  • DC GIFT AZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA MIFUGO

    September 01, 2025
  • RASMI BARABARA ZA MITAA PANGANI ZABORESHWA

    September 01, 2025
  • PANGANI DC YAENDELEA KUNG’ARA SHIMISEMITA 2025.

    August 23, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Pangani Dc
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa