• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AELEZA UMUHIMU WA KONGAMANO LA BIASHARA NA UWEKEZAJI PANGANI.

siku ya kuwekwa : October 4th, 2023


"Mimi kwa niaba ya Waziri wa Viwanda na Biashara nimefarijika sana kuwa mgeni rasmi wa kongamano hili na kueleza mikakati ya Serikali katika kuendeleza Biashara na Uwekezaji hapa Pangani".


Hayo yamesemwa Jumanne ,Oktoba 3 , 2023, na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Silaoneka Kigahe, wakati wa Kongamano la Biashara na Uwekezaji.


Aida Mhe Kigahe ameongeza kuwa makongamano haya yanafaida mbalimbali ikiwemo kutoa fursa ya kujadiri fursa mbalimbali za uwekezaji.


"Ili tuweze kuendelea lazima tuifungue Pangani kwa kuendelea kuzichangamkia fursa za biashara zinazopatikana katika Wilaya hij ya Pangani hasa kwa wawekezaji wa ndani pamoja na wa Nje kwa manufaa ya Taifa letu na uchumi kwa ujumla, ili kutoa majawabu ya fursa zinazopatikana ili wananchi waweze kunufaika nazo".


Ameongeza kuwa , "tunapaswa kuyaandaa maeneo yetu ya uwekezaji na tuepuke yasiwe maeneo yenye migogoro, lengo letu kama Nchi ni kuona mali gafi zote za Tanzania zinaenda kuongezwa thamani, ili tupate malighafi zenye ubora zaidi".


Lengo letu tupate Bandari ya kusafirisha bidhaa za mwisho na sio kuuza malighafi, na tuendelee kuboresha na kauli mbiu yetu iwe Pangani ni mahali salama ya uwekezaji.


Tumeona ipo haja sasa ya kuwaleta wawekezaji kuja kuongeza thamani ya bidhaa zetu, Pangani bado haijatumika,naendelea kumpongeza mkuu wa Wilaya hii kwa kuwa mstari wa mbele kufanya kitu cha tofauti.


Hata ivyo ameziomba Taasisi zote zikiwemo SIDO,TBS, BLERA,zifike kwenye ngazi za Halmashauri ili ziweze kutoa huduma kwa Wananchi wa ngazi za chini.

#Panganimpya

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI.

    May 23, 2025
  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa