• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

OFISI YA UDHIBITI UBORA WA SHULE NA IDARA YA ELIMU MSINGI WATOA MAFUNZO YA MTAALA ULIOBORESHWA KWA WALIMU PANGANI.

siku ya kuwekwa : January 11th, 2024

Ofisi ya Udhibiti Ubora wa Shule na Idara ya Elimu Msingi, Wilaya ya Pangani, wametoa mafunzo wezeshi juu ya Mabadiliko katika Mtaala wa Elimu kwa Shule za Awali na Msingi.


Moja ya Mafunzo hayo yametolewa leo Januari 11, 2024 katika kituo cha Walimu (TRC Pangani) ambapo Elimu juu ya Mtaala ulioboreshwa kwa Walimu Wa Shule za Msingi,na Awali imetolewa kwa Walimu hao.

Akiwasilisha taarifa ya Mtaala huo, Afisa Elimu Kata ndg Mbaga Musa amesema kuwa moja ya maboresho yaliyofanywa katika mtaala ulioboreshwa ni pamoja na kubainisha sifa mbalimbali za walimu wanaopaswa kufundisha Shule za Awali na Msingi, pamoja na Utekelezaji wa Waraka huo.


Kwa upande wake ndg Frank Maeda kutoka Ofisi ya Udhibiti Ubora wa Shule Wilaya ya Pangani, amesema kuwa miongoni mwa mambo muhimu yanayo paswa kufundishwa ni pamoja na Uzalendo, Utamaduni, Masuala Mtambuka pamoja na Elimu ya Imani.

" Wanafunzi wajengwe katika imani zao na kufundishwa Tunu za Taifa ikiwa ni pamoja na Uhuru, Amani,Mshikamano pamoja na Upendo kama mtaala huu ulioboreshwa unavyoeleza.


Aidha kwa upande wake ndg. Faraji Ally Mwalimu wa Shule ya Msingi Pangani, amesema kuwa mafunzo haya ni fursa bora kwa sisi walimu, kwani yanatujenga katika uboreshaji wa utoaji maarifa kwa wanafunzi wetu, hivyo ni mafunzo muhimu kwetu kwa manufaa ya Taifa letu.

Ikumbukwe kuwa Uboreshaji wa Mtaala huu umeanza kutumika kutoka Tarehe 9 Disemba 2023.




Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI.

    May 23, 2025
  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa