• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

PANGANI DC IMEFANYA KIKAO CHA KAMATI YA AFYA YA MSINGI(PHC).

siku ya kuwekwa : December 22nd, 2023


Halmashauri ya Wilaya ya Pangani imefanya kikao cha Kamati ya Afya ya Msingi PHC (Primary Health Care) ) kwaajili ya kutambulisha mradi wa huduma endelevu  ya maji na usafi wa mazingira Vijijini.

Kikao hicho kimefanyika leo Disemba 22,2023 katika ukumbi wa Zamani wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani.


Kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Katibu Tawala Wilaya hiyo, ndg Ester Gama  amefungua kikao hicho na kutoa rai kwa Wananchi kuendelea kuhamasisha jamii ili waweze kujitoa kwa nguvu zote katika kukamilisha miradi hio yenye faida kubwa kwa Halmashauri na Wananchi kwa ujumla.

Aidha  wajumbe mbalimbali wamehudhulia ikiwemo kamati ya ulinzi na usalama Wilaya, Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu na Afya mhe Akida Bora Mimi, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Pangani ndg Veronica Marwa, na Wataalam wengine ambao wameshiriki ili kujadiliana namna bora ya utekelezaji wa Mradi huo.

Katika Uwasilishaji wa taarifa ya Mradi huo Afisa Afya kutoka Ofisi ya Mganga mkuu Wilaya ya Pangani ndg Revocatus Asseys meeleza kuwa, Mradi huo unatekelezwa kwa kuzingatia viashiria mbalimbali kwa idara ya Afya na Elimu, miongoni mwa viashiria hivyo ni pamoja na Matumizi ya Vyoo bora, idadi ya Shule zenye vyoo bora,idadi ya Vijiji vilivyofikia daraja la juu la usafi wa Mazingira.


Ameongeza kuwa hadi Disemba 21,2023 katika vituo vyote miradi ipo hatua za ujenzi na kazi zinaendelea.


Kwa upande wake kaimu Mkurugenzi ndg Veronica Marwa amesema kuwa hadi sasa fedha za miradi hii zimeshapokelewa na utekelezaji wa miradi unaendelea, na ameeleza kuwa kiuhalisia vituo vyetu vya  huduma za Afaya vinahitaji kuboreshwa zaidi na Serikali imeendelea kutupatia fedha za miradi na uboreshaji wa mazingira ya Afya unafanyika.


#panganimpya

#kaziiendelee.



Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI.

    May 23, 2025
  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa