• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

PANGANI DC YAENDESHA MAFUNZO KWA MAAFISA BAJETI WA IDARA NA VITENGO.

siku ya kuwekwa : October 2nd, 2025


Leo tarehe 02 Oktoba 2025, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, ambaye pia ni Mhasibu Ndugu Piusi Mmasi, amefungua rasmi mafunzo ya siku mbili kwa Maafisa Bajeti wa Idara na Vitengo katika ukumbi wa TRC.


Aidha, mafunzo hayo yatawawezesha Maafisa Bajeti kuhakikisha maandalizi, usimamizi na ufuatiliaji wa utekelezaji wa mipango na bajeti unafanyika.


Akizungumza wakati wa ufunguzi, Ndugu Pius Mmasi amewataka washiriki wote kuwa makini na kutumia mafunzo hayo ipasavyo kwa manufaa ya wananchi wa Pangani.

Sambamba na hilo ndugu Emmanuel Mbonde Afisa mipango amefafanua kuwa "Mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo washiriki katika uandaaji wa bajeti kupitia mfumo wa PlanRep, ili kuhakikisha mipango ya maendeleo ya Halmashauri inatekelezwa kwa ufanisi". Alisema.

Hatua hii ni mwanzo rasmi wa mchakato wa awali wa maandalizi ya Bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027 ya Halmashauri ya Wilaya y

a Pangani.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • PANGANI DC YAENDESHA MAFUNZO KWA MAAFISA BAJETI WA IDARA NA VITENGO.

    October 02, 2025
  • UJENZI WA KALAKANA PANGANI WAFIKIA HATUA NZURI .

    October 02, 2025
  • MAENDELEO YA UJENZI WA NYUMBA YA WAKUU WA IDARA PANGANI YASHIKA KASI

    September 30, 2025
  • SEMINA YA SARATANI YA MATITI YATOLEWA PANGANI

    September 23, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Pangani Dc
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa