• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

PANGANI YAFANYA MAADHIMISHO YA SIKU YA KASA DUNIANI

siku ya kuwekwa : June 17th, 2025

Maadhimisho Siku ya Kasa Duniani, Yafanyika Ushongo Kupitia Taasisi ya SeaSense.


Leo, tarehe 17 juni 2025, kijiji cha Ushongo, Wilayani Pangani, yamefanyika maadhimisho ya Siku ya Kasa Duniani yenye kauli mbiu isemayo " Tunza Kasa, Dumisha Afya ya Bahari".

Tukio hili limeandaliwa na Taasisi ya SeaSense chini ya udhamini wa ( EACOP) shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na uhifadhi wa viumbe hai wa baharini, hususan kasa wa baharini.

Sherehe hizo zilifanyika kwa lengo la kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kuwalinda kasa, ambao wako hatarini kutoweka kutokana na uvuvi haramu, uchafuzi wa mazingira, na uharibifu wa mazalia yao. 


Akizingumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Kaimu afisa kilimo mifugo na uvuvi ndg Mohamed Mwaushanga amesema kuwa “ Nitumie fursa hii kuipongeza taasisi ya Sea Sense kwa juhudi zake za kuendelea kuwaelimisha wananchi, kuimarisha ufuatiliaji wa kasa, na kuendesha matukio haya ya kijamii ambayo yanahamasisha ushiriki wa kila mmoja wetu hususani vijan, hii inaonyesha umuhimu mkubwa wa kutunza kasa na kudumisha bahari". Alisema.

Taasisi ya SeaSense imeahidi kuendelea kushirikiana na jamii za pwani kuhakikisha kuwa uhamasishaji na uhifadhi wa kasa unakuwa endelevu kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • TANZIA

    July 01, 2025
  • DC PANGANI AKETI NA WAFUGAJI KUJADILI NA KUTATUA MIGOGORO YAO

    June 30, 2025
  • TANGAZO

    June 29, 2025
  • KAMPENI YA USAFI WA KILA MWISHO WA MWEZI

    June 27, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa