• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHESHIMIWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKABIDHI ZAWADI YA MWAKA MPYA 2024 KITUO CHA WATOTO WANAOISHI MAZINGIRA MAGUMU (MICAP VILLAGE) WILAYA YA PANGANI.

siku ya kuwekwa : December 30th, 2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa zawadi ya mahitaji ya Siku Kuu ya Mwaka Mpya 2024 kwa Watoto wanaolelewa katika Kituo cha Micap Village Kilichopo kata ya Bweni Wilayani Pangani.

Akizungumza leo Disemba 30,2023 kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Pangani, wakati wa kukabidhi mahitaji hayo (Mkono wa heri ya Mwaka Mpya kutoka kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan), Katibu Tawala Wilaya ya Pangani Ndg. Ester Gama amesema jambo hili ni juhudi za Serikali za kuboresha ustawi wa jamii hususan katika kulea na kutunza watoto Yatima na Wanaoishi katika Mazingira Magumu.


"Kwa namna ya pekee naomba mpokee salamu za Serikali, zilizotolewa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambae anatambua kazi kubwa mnayoifanya katika kulea Watoto na leo imempendeza Rais wetu kutupatia zawadi hii kwa ajili ya kufurahi pamoja katika kipindi cha Sikukuu hii ya mwaka mpya 2024”.

Msaada uliotolewa ni pamoja na Mchele, Sukari, Unga, Sabuni, Mafuta ya kupikia, Mbuzi  na zawadi nyingine za kuwapa Watoto faraja.

Akizungumza mala baada ya kupokea msaada huo Msimamizi wa kituo Bi. Anna amesema kuwa anaishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais mpenda watu Dkt. Samia Suluhu Hassan na uongozi wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani kwa kuwakumbuka watoto hawa na kuwapa tabasamu na furaha katika kipindi hiki cha kusherehekea Siku Kuu ya mwaka mpya 2024.


"Mungu awabariki sana, tunawashukuru kwa msaada huu tumeupokea na watoto wamefurahi sana”

Ameendelea kutoa wito kwa jamii kuzidi kuwakumbuka na kuwatembelea kwani watoto hao ni sehemu ya jamii ya Watanzania.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI.

    May 23, 2025
  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa