• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

SEMINA YA SARATANI YA MATITI YATOLEWA PANGANI

siku ya kuwekwa : September 23rd, 2025

Leo, tarehe 23 Septemba 2025, watumishi wa afya ngazi ya jamii, watendaji kata na viongozi wa dini wamekutana katika semina maalum ya Uchunguzi wa awali wa saratani ya matiti, iliyoandaliwa na Shirika lisilo la kiserikali la Jhpiego kwa udhamini wa Pfizer Foundation katika ukumbi wa hospitali ya Wilaya ya Pangani.

Lengo kuu la semina hiyo ni kuimarisha uelewa kuhusu uchunguzi wa mapema wa saratani ya matiti na kuhamasisha jamii kuchukua hatua za kulinda afya ya mama, dada na binti zetu.

Akiwasilisha lengo la mradi huo  wa uchunguzi wa Saratani ya Matiti Dkt. Sunday Wanyika  kutoka taaisi ya  Jhpiego ameeleza kuwa mradi huu unalengo la Kuongeza vituo vinavyotoa huduma za uchunguzi wa awali, Kuwafikia wananchi kwa karibu kupitia viongozi wa jamii pamoja na Kutoa elimu ya kujichunguza na kugundua dalili mapema.

Alisema kuwa " Kwa kushirikiana na viongozi wa jamii, tunaleta elimu na huduma karibu na wananchi ili kila mmoja apate taarifa sahihi na msaada unaohitajika".


 Kumbuka: Uchunguzi wa mapema unaokoa maisha.


Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • PANGANI DC YAENDESHA MAFUNZO KWA MAAFISA BAJETI WA IDARA NA VITENGO.

    October 02, 2025
  • UJENZI WA KALAKANA PANGANI WAFIKIA HATUA NZURI .

    October 02, 2025
  • MAENDELEO YA UJENZI WA NYUMBA YA WAKUU WA IDARA PANGANI YASHIKA KASI

    September 30, 2025
  • SEMINA YA SARATANI YA MATITI YATOLEWA PANGANI

    September 23, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Pangani Dc
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa