• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

TFCG YATAMBULISHA MRADI WA SULUHISHO LA UJUMUISHWAJI WA MISITU NA NISHATI ENDELEVU YA TUNGAMOTAKA TANZANIA .

siku ya kuwekwa : March 13th, 2024


Shirika la Kuhifadhi Misitu ya Asili Tanzania (TFCG), leo tarehe 13, Machi 2024, limetambulisha Mradi wa Suluhisho la Ujumuishwaji wa Misitu na Nishati Tanzania, Wilayani Pangani.

Hayo yamefanyika katika ukumbi wa zamani wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani na kuhudhuriwa na Katibu Tawala Wilaya Bi Ester Gama, Mwenyekiti wa Halmashauri Akida Bahorera,Makamu Mwenyekiti mhe Zainab Mvaa,Katibu wa CCM Wilaya ya Pangangi Bw Abdul Swala, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Wakuu wa idara na Vitengo pamoja na Waheshimiwa Madiwani.

Akifungua kikao hicho Katibu Tawala Wilaya ya Pangani Bi Ester Gama amelipongeza Shirika la Kuhifadhi Misitu ya Asili Tanzania kwa kutoa Elimu na kuhimiza kuwa  utunzaji wa misitu uwe endelevu kwa wananchi ili kuendelea kuhifadhi Misitu ya Asili Tanzania.

Akiwasilisha Taarifa ya mradi huo  Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la TFCG ndg Charles Meshack amesema kuwa mradi huu ni wa miaka mitatu (3), na unafaida nyingi kwenye vijiji ikiwemo kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.


Kwa upande wake  meneja wa mradi Ndg Saimon amesema kuwa lengo kuu ni kuimarisha usimamizi endelevu wa mazingira na misitu, na mradi huu unatarajiwa kufanyika katika vijiji vitatu hapa Pangani ambavyo ni Mseko,Mtango na Kwakibuyu.


Bw. Saimon amesisitiza kuwa mradi huu utalenga kutoa elimu kwa maafisa misitu na Wataalam kuhusu usimamizi wa Misitu ya jamii,utawala bora na uvunaji endelevu wa Misitu.


Waheshimiwa Madiwani walipata nafasi ya kutoa maoni mbalimbali kuhusu mradi huo ambapo wameupokea mradi huo na kupongeza kwa elimu iliyotolewa yenye lengo la  kuwainua Wananchi kiuchumi.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MIKUTANO WA MWAKA WA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA HALMASHAURI

    July 06, 2025
  • DAS PANGANI ATEMBELEA KUJIONEA MAENDELEO YA MAANDALIZI YA NANE NANE

    July 03, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA ATEMBELEA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANE NANE

    July 02, 2025
  • TANZIA

    July 01, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa